ulikua mpambanaji na umetuacha bado tukiwa tunahitaji mchango wako katika vita hii ya kuleta mabadiliko na maendeleo yenye maslahi kwa taifa letu
R.I.P kamanda
malipo ni duniani mbinguni ni...
Ni mara chache sana kukuta mabilionea kama hawa wakijichanganya na watu wa kawaida uswazi aghalabu hupenda kujiona wao ni wabora zaidi ya wengine. Ila huyu nampa zake pongezi,najua waweza...
yanini kujiona wewe nibora kuliko mwingine,yanini kunyanyasa fukara,yatima,wajane,wagonjwa,walemavu eti kwasababu ya elimu,pesa,uzuri
jamni tunajidanganya na uzr wamiili yetu tanzama tena hiyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.