Jamii Photos

A collection of Community Photos brought to you by our members. Enjoy your stay!
. Join me to break the taboo of showing our true self.. You never know about tomorrow... Meet me while you're aware the face you are going to meet (face not heart[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23])
177 Reactions
703 Replies
67K Views
Ulinzi wake sio haba...
5 Reactions
33 Replies
5K Views
Huyu ndiye mke wa ndoa wa Akon aliezaa nae watoto watano. Walifahamiana tangu wakiwa na miaka 20. Watoto wengine wanne amezaa nje ya ndoa Hawa ni baadhi ya michepuko wa Akon
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Masoud Kipanya ni miongoni mwa wachoraji katuni wanaofanya kazi nzuri hapa nchini kwetu, katuni ya Kipanya imetokea kuwavutia wengi kutokana na jinsi inavyoelimisha, kuburudisha, kuchekesha na...
19 Reactions
692 Replies
141K Views
Wanavyoswagwa kwenye makenta kama ng'ombe wanaopelekwa mnadani kuuzwa vile!![emoji81] Wakati mgeni rasmi anakuja na msafara wa ma V8 new model[emoji28][emoji28]
7 Reactions
39 Replies
3K Views
Huu ni uzi maalumu unaojumuisha maisha yote ya kale tuliyoyaisha ,mashujaa wetu wa enzi hizo visa vyao na burudani kwa ujumla. Karibuni .
5 Reactions
32 Replies
2K Views
1 Reactions
11 Replies
4K Views
Utu uzima dawa, ya kale ni dhahabu. Tena ya kale hayanuki. Twende sawa sasa Leso hii ilitumiwa na Maxence Melo enzi zile akiitwa computer Guru
15 Reactions
53 Replies
3K Views
Nchi ni ngumu sana hii.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Angalia Dunia ukiwa sayari ya Mars. Hii ni picha imechapishwa na NASA ikionyesha Dunia kutokea Mars.
10 Reactions
68 Replies
4K Views
Ni Hamisi akiwa na Marehemu Amina, miaka inakimbia sana.
8 Reactions
35 Replies
3K Views
Wakuu natarajia mwaka huu usiishe nikiwa nimeoa kabisa na Kutulia nampenda sana huyu Binti mwenye mawasiliano nae tafadhari nitafurahi sana Ni presenter pale Azam
2 Reactions
23 Replies
1K Views
Huyu ni Beyonce wa mwaka 1999 na mwaka 2023. Ndo kwanza anazidi kuwa mtoto! Uzee unazuilika!
15 Reactions
130 Replies
8K Views
Fisi maji huyu..!
1 Reactions
3 Replies
968 Views
Hii picha inaongea mengi kuhusu Africa. Ina maana zaidi ya mia moja. Kila msomaji wa hii picha anaipa maelezo yake kulingana na mazingira na ufahamu wake.
10 Reactions
54 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…