Nimevutiwa sana na usanifu wa hili Jengo, linaakisi kabisa mazingirya yetu, bila ya shaka Dodoma yetu itapendeza likikamilika, ni Makao Makuu ya Ofisi za Takwimu Tanzania!
Mshukuru Mungu kwa kila Kitu, Usijivunie Mwili wala Muonekano maana ni zawadi ambayo Ulipewa sio kweli kwamba huyu Dogo alipenda yeye, Au sisi ni Bora kuliko yeye machoni pa Mwenyezi Mungu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.