December 05, 2013, zilitoka taarifa za msiba wa hayati Nelson Mandela Rais wa kwanza mweusi wa Afrika Kusini na mwili wake ulizikwa December 15 katika kijiji cha Qunu mkoa wa Eastern Cape Afrika...
Upiga picha ni kipaji adimu ila kuna muda unaweza muingiza mhusika matatani na kwenye matatizo zaidi.
Huyu mpiga picha yupo kazini kuchukua selfie mubashara ya mayai ya nyoka bila kujua mwenye...
Basi mtu wako nikakutana na bonge la HEADLINE mtandaoni yani.. “10 of the Coolest Homes in the World“, nikaingia faster nijionee PICHAZ ya hizo nyumba kali huko DUNIANI.
Nilizokutana nazo...
Kuna viwanja vya ndege ambavyo ni vya kawaida labda kama huwa ni muoga utakua unapata wasiwasi kidogo tu then inapita ila kwa viwanja hivi kuna uwezekano mkubwa kabisa ukaogopa sababu sio viwanja...
Nafahamu tumezoea usafiri wa mabasi au magari tukiwa ndani ya miji ili kwenda sehemu tofauti leo imenifikia hii ya kijiji cha Giethoorn nchini Netherlands ambapo barabara zao ni maji na boti ndio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.