Bila kutumia ramli za Mshana Jr 🙊🙊
hebu tazama kwa macho ujipime na ufahamu wako utuambie kuna ndege wangapi hapa
NB: Walio serious kabisa wawawekee na alama😅😅
Hii ndio hali ya Johannesburg, Afrika ya Kusini. Tusipochukua hatua za haraka na madhubuti, hali hii itafika kwetu, tunamuomba Mwenyezi Mungu SUbhana Wataala atunusuru.. TUMUOMBE MUNGU ATULINDIE...