Katika hatua ya serikari ya awamu ya nne ya rais Jakaya Kikwete kuona kuwa imefanya yale ambayo jamii ya Tanzania ilitaka hata kuitikia wito wa kujenga chuo Kikubwa sana katika historia ya Taifa...
Rais wa Zambia, Mhe. Edgar Lungu akipokewa na Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Prof. Ignas Rubaratuka wakati alipotembelea eneo ilipofungwa mashine mpya ya...
Balozi wa Korea Kusini hapa nchini, Mhe. Song Geum-young (kushoto) akijadili jambo na Mkuu wa Chuo cha Bandari, Dk. Joseph Kakeneno wakati wa mhadhara wake na wanachuo cha Bandari hivi karibuni...
Namuona Mzee wa Msoga juzi akiwapunguzia wenzake majonzi kwenye msiba wa Mzee Pinda, naona kila aliyekuwa karibu alishindwa kuzuia tabasamu. Sijui huwa anawaambia nini wazee wenzake mpaka...
TAFASIRI YANGU KATIKA PICHA HII
1.Kila mtu ana uwezo wake tofauti na mwengine. Jifunze kuwaheshimu watu uliowazidi nguvu/uwezo. Si mara zote watakuwa dhaifu.
2. Unapokusudia kumuumiza mwingine...
Mwenye kandambili ni waziri wa ulinzi, mwenye kirungu ni waziri wa mambo ya ndani na mwenye viatu vyeupe ndie Mabior Garang- waziri wa kilimo na umwagiliaji wakiteta jambo nje ya bunge.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.