Hata kama hawa watu tunao huku kwetu lakini serikali iweke ngumu hivyo hivyo.Hatutaki aibu sisi. Baba zima eti limevaa skuna.
Uncle Magu kaza hivyo hivyo,hatutaki ujinga sisi.
walai nikiwa kituoni namsubiri monicca walai sjaamini macho yangu baada ya kufika mdada mmoja aliyejitambulisha kuwa yey ndo monica wa jf, walai nimekimbia kutoka kituoni mpaa kwangu paspo kuamini...
Si watu wengi wamefika hapa Daraja la Mungu, lililopo sehemu inaitwa KK, karibu na chuo cha mafunzo Magereza.
Mto wote wa Kiwira unapita chini ya daraja hili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.