Obama ambaye yuko nchini Vietnam kwa ziara ya kuaga kama anavyoonekena kwenye hiyo video kaenda kitaa eti kula chakula na kunywa bia, show tupu dadadeki halafu mbona haji Afrika kwetu kuaga yeye...
Naibu Waziri, Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira ambaye pia ni Mbunge Jimbo la Kisesa, Mhe. Luhaga Joelson Mpina (kushoto) akiwa ameongozana na Mbunge wa CHADEMA Jimbo la Iringa Mjini...
Dada zangu Akina Mama zangu msiwatupe watoto kwa kuogopa Umasikini Mwenyeezi Mungu atawa ruzukuni musiogope Umasikini kwa kushindwa kuwalea watoto jamani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.