Ni matumaini yangu uko salama na mzima wa afya na kama sio mzima wa afya basi Mungu wangu akulinde na akujulie afya njema [emoji120][emoji120].
Leo piaa Ndugu zangu nimependa kushare picha za...
Nyie si mnasema Jamii Forums kuna watu wanapiga spana, sasa nimewasogezea spana kutoka kule twitani. Aiseeee ni hatari!
Wa kuitwa Madenge kayakanyaga, kavamia mtumbwi wa vibengwo...
Mzuka wanajamvi!
Mara ya kwanza kuona hii picha nilidhani Bahi, Kongwa huko kumbe ni Belarus Ulaya ya Lukashenko mshirka wa Putin. Yani hapana tofauti na Bukombe na Nyarugusu kwa kina mwamba. imhotep
Huyu mama anakimbia kuliko difenda ya polisi inayoenda kwenye kikao cha CHADEMA kisichokuwa na kibali, Km 300,000 kwa sekunde.πππ π π
Wahenga wanamjua vizuri.