Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

1.Kuwasili 2.Viboko 3.Selo 4.Mijeledi 5.Kuzitapika mil.50 6.Kubangua korosho 7.Jela.... Itifaki imezingatiwa!
3 Reactions
3 Replies
1K Views
" Kocha gani Mbichwa mkubwa tu kama Matikiti Maji ya Mbwinde aende zake tu " " Ningemjua Mke wake huyu Kocha ningeenda Kumpa Ujauzito hata sasa hivi ili nimkomeshe tu " " We Kocha ana Sura mbaya...
8 Reactions
71 Replies
8K Views
Habari za wakati huu.... Poleni na changamoto za maisha na majukumu ya kila siku.... Niende kwenye mada jamani nina plan ya kutaka kufungua Academy soccer ila wachezaji ntakuwa nabeba kila angle...
2 Reactions
15 Replies
1K Views
Timu ya Cameroon chini ya miaka 17
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Wachezaji wanne Simba kutolewa kwa mkopo Bamwanga Blog Upana wa kikosi cha Simba kwa sasa umefanya baadhi ya wachezaji kukosa namba kikosi cha kwanza, Kocha Mkuu Patrick Aussems anataka kuwatoa...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Mbunge wa Mtera(CCM),Livingstone Lusinde ameitaka TFF kuandaa barua ya kumfuta kazi kocha was Taifa Stars,Emmanuel Amunike ili akishuka tu uwanja wa ndege akabidhiwe. Lusinde ametoa kauli hiyo...
12 Reactions
108 Replies
12K Views
Tena kwa taarifa yenu sasa ni kwamba kama kuna mechi ngumu kwa Taifa Stars na ambayo tukijiandaa nayo sana tutafungwa Goli chache sana 3 ila tukifanya maandalizi ya zima moto kuna hatari ya...
14 Reactions
50 Replies
6K Views
Kutokana na jeshi kuwa na disprin na uzalendo maagizo toka juu yamewaagiza TFF kuwatumia wanajeshi kwenye mechi dhidi ya Uganda!
4 Reactions
16 Replies
2K Views
Walahi Tz tuna watoto wakali. Jana ile faulo ya mwisho ambayo watu wengi walishangilia wakidhani penati alionyeshwa kwa screen Dada mzuri mmoja chotara akinyanyuka kushangilia akidhani penati...
8 Reactions
44 Replies
6K Views
Hatimaye waingereza wamelipa kisasi cha Kombe la Dunia kwa wa Croatia. Wakitawala possession kuliko wa croatia kwa kiwango kikubwa wamewabwaga makamu bingwa wa Dunia kwa bao 2 kwa 1 Katika mchezo...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Tuweke maaba pembeni,tujibu kwa hoja za kimichezo,kipa jana alikua chini ya kiwango
8 Reactions
55 Replies
6K Views
Mpaka jana usiku nilikuwa siamini kama Rais amewapa Taifa stars millioni 50 tshillings kama motisha ili waifunge Lesotho, mawazo yangu yote Rais alikuwa ametowa dollar million 50 ili stars ikate...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Nina matumaini makubwa sana wa Timu ya Taifa kushinda mchezo wa Uganda na kwenda Cameroon 2019 Timu Yetu ya Taifa imekua na tabia moja ikishinda mchezo mmoja, mara nyingi mechi inayofuata...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nilipost before, Kuinoa timu ya Tanzania kuna hitaji mwalimu anaewajua vizuri wachezaji wa Tanzania Kiuelewa Julio ni zaidi ya Amunike kwa Timu yetu kuanzia lugha na kila kitu
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Wadau, hivi tufanyaje ili twende Cameroon? Je tukiifunga Uganda na Lesotho wakaifunga Cape Verde idadi sawa ya magoli nani ana advantage? Tuanze kujadili namna ya ku move forward badala ya...
0 Reactions
25 Replies
2K Views
Tumepoteza "Golden Match", "Golden Chance" whatever you call it, but mechi ya jana imewaumiza Watanzania........Kocha amekuwa jeuri kama si Mkaidi mwenye husda na maendeleo ya Timu yetu ya...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Kwanza ukimfuatilia utadhani kuna kitu anakijaribisha. Yupo yupo tu , yaani yeye anadhani tumempa timu ili kumuenzi alivyokua anachezea lile li timu lao la taifa lao. Watu wakienda kufuatilia...
3 Reactions
6 Replies
1K Views
Wachezaji wa Simba SC ambao Waliitwa kwenye timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars, wameondolewa kwenye kikosi hicho kwa kushindwa kuripoti kambini kwa muda uliotakiwa Wachezaji hao ni Shomari...
5 Reactions
144 Replies
18K Views
Back
Top Bottom