My own expected line up
Aishi Manula, Erasto Nyoni, Gadiel Michael,Abdi Banda, Kelvin Yondani, Himidi Mao,Shiza Kichuya, Mudathir Yahya, Simoni Msuva, John Bocco, Thomas Ulimwengu.
Tutamkosa...
Wakuu heshima mbele, nimewiwa kuandika hii sredi baada ya kufuatilia historia ya muanzilishi na mmiliki wa limbe leaf baadae Tukuyu stars Ramnik Patel, kwa ufadhili wa huyu mhindi Tukuyu stars...
Kipigo cha goli 1-0 walichokipata Cape Verde leo Nambole stadium kimeongeza matumaini ya timu yetu ya taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kuvuzu Afcon itakayofanyika nchini Cameroon.
Stars ambayo...
Kamwe cjawah kuona tija ya kumwita ulimwengu hajitambui kabsa awapo uwanjani anakimbiakimbia na kuzunguka na kukosa welekeo hajitambui kabsa wajibu wake anatumia nguvu nyingi bila msingi wowote...
Timu ya Fulham inayoburuza mkia kwenye msimamo wa ligi kuu ya England imemtimua kocha wake Slavisa Jokanovic baada ya kuambulia pointi 5 tu katika mechi 12 , nafasi yake imechukuliwa na Mkongwe...
Ili kukata mzizi wa fitna, kama kweli wanachama wanamhitaji manji na yeye amerithia, wamchukulie form ya kugombea, then wampitishe kama mwenyekiti wao kwa kura, kama TFF walikuwa na mtu wao walio...
Habari njema ni kuwa uganda imempiga tena cape verde kwa goli1 kwa 0 hii inamaanisha imefikisha pointi 13 zisizoweza kufikiwa na timu yeyote huku ikibaki na mchezo mmoja wakati Tanzania ina point...
Tangu timu ya taifa imeshiliki mashindano ya afcon kwa mala ya kwanza na ya mwisho kuna watu walikuwa hawajazaliwa sasa hivi niwababa watu wazima na familia zao, wengine walizaliwa mpaka wamekufa...
Wadau nadhani bw.Yusuf Manji anafuata taratibu za mwenyekiti wa CUF mh.Prof.Lipumba za kuandika barua ya kujiuzulu halafu unarudi tena kuwa hukujiuzulu.
Mzuqa,
Natanguliza ombi la msamaha kwa ndugu zangu humu jamvini kwa njia flan au nyingine nimewaudhi. Sisi wote ni ndugu.
Tarehe 18 keshokutwa stars watakutana na Lesotho kuwania kufuzu Afcon...
Mabingwa wa nchi ya Tanzania Simba Sports Club inatarajia kukwaruzana na Klabu ya Nyasa Big Bullets FC ambao ni vinara wa ligi kuu nchini Malawi Ijumaa ya Novemba 16, 2018 katika uwanja wa Taifa...
Wakuu pole na stress za Korosho, kesho timu yetu ya taifa(Taifa stars) inashuka dimbani kukipiga na Lesotho. Lakini habari mbaya tutamkosa naodha mbwana Samatta.
Je pengo lake linazibika ...
Kama kuna mtu aliyechaguliwa simba asili ni kaduguda ,hatimae wamempitisha ili akawasemee , Mimi nafkir mjumbe wa kwanza kujiuzulu au kufukuzwa ni huyu ,Yaan patachimbika mno?
Nb. Kaduguda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.