Najiuliza maswali mengi bila majibu!!! hivi kilichomleta Kocha Maximo kuja kufundisha Yanga ni njaa au....!!!??? maana nijuavyo mimi kwa mfumo wa kisoka uliopo Tanzania ....hata aje Wenger lazima...
Kama ID inavyojieleza.
Utambulisho huu unastahili hasa jukwaa la Michezo, ila kwa itifaki ya JF imebidi niuweke huku.
Rugby ni moja kati ya michezo ya nguvu na kasi zaidi unaochezwa na wachezaji...
Updates from Friday, July 11
Sports Illustrated's Lee Jenkins has the exclusive report on LeBron James' decision, in James' own words with the final lines reading:In Northeast Ohio, nothing is...
Uganda - 87
Kenya - 95
Tanzania -106
Full list here The FIFA/Coca-Cola World Ranking - Ranking Table - FIFA.com
Ahead of Sunday's Africa Cup of Nations qualifier, the national team Harambee...
Kwaza kabisa niwape pongezi nyingi kwa kutuletea michuano yoote ya kombe la dunia na marudio yaki ijapokuwa ilikuwa haituhusu. Hakuna timu hata moja ya ukanda wa Afrika mashariki na kati...
Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Lina Kessy ameteuliwa kuwa Ofisa Michezo wa Umoja wa Afrika (AU).
Uteuzi huo umefanywa na Mwenyekiti wa Kamisheni ya...
Kwanza wanaichukulia kama timu ya TFF, pili wachezaji wetu wa wa tanzania hii wavivu kwa mazoezi wakipata kocha mpya wanajitahidi sana wakimzoea wanajiregeza wachezaji nawaomba hebu mkaze mwili...
Timu ya Tanzania kwenye Michezo ya Jumuiya ya Madola imewasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa Glasgow, Scotland jana usiku wa kuamkia leo kwa ndege ya Shirika la ndege la Falme za Kiarabu...
UPDATES: MATOKEO YA MWISHO TANZANIA 0 - 0 aFRIKA KUSINI
Mechi ya kwanza ya raundi ya pili ya michuano ya Afrika kwa vijana wenye umri chini ya miaka 17 kati ya Tanzania(Serengeti Boys) na Afrika...
Starting next week, all eyes will be on Glasgow, Scotland, as Kenya begins its quest for medals in the 20th Commonwealth Games.
The Kenya squad of 195 athletes is the largest since the 2012...
Added on May 29th, 2014
Belgium born Kenyan Divorck Origi will be making a milestone as he turns out for Belgium National team in the 2014 Fifa World Cup.
Divock Origi 66 rating - FIFA 14...
chancellor wa ujerumani pichani aliushangaza ulimwengu pale aliporuka toka katika kiti chake mbele ya rais wa ujerumani na rais wa fifa s.blater wakati alipokuwa akishangilia goli lililofungwa na...
Fikiri sasa hiyo tuzo angepewa nani
robben tayari ana kashfa ya diving
jr tayari mfungaji bora pia colombia imeishia robo final
muller huwezi kumpa koz germans hawakumtegemea mtu binafsi kufika...
Naambiwa imeanza jana viwanja vya Karume, Dar es Salaam ikishirikisha vijana chini ya umri wa miaka 17.
Nimejaribu kusaka taarifa mitandaoni sioni, lakini nina imani redio za hapa nyumbani...
KIUNGO wa kimataifa wa Tanzania, Mwinyi Kazimoto anatarajiwa kuwasili kesho Saa 1:30 asubuhi kwa ndege ya Qatar Airways, akitokea Qatar anakocheza soka ya kulipwa.
Mchezaji huyo wa zamani wa...
Shirikisho la soka duniani FIFA, limeisimamisha kwa muda timu ya Taifa ya Nigeria kushiriki katika mashindano ya Kimataifa kutokana na Serikali ya nchi hiyo kuingilia kati michezo ya timu hiyo...
why athletics kneel down before the race?
The answer is more scientific mkuu.
It has something to do with laws of motion and biomechanics. Nijaribu kurahisisha lugha, kuna nguvu za asili...
Hivi wanajamvi kuna ulazima gani hasa kutumia resources za taifa hili kufanya ghafla ya kufunga kombe la dunia? Inanishangaza kuona mali za nchi na hata muda adimu wa nchi hii watu wanakaa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.