Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Kama kawaida nishafika uwanjani, timu zote zishaingia na zinapiga jaramba hawa Wamorocco wanaonyesha wako fiti na wepesi na wazee wa touch sana inabidi tutulie kama twahitaji kuondoka na...
0 Reactions
211 Replies
22K Views
Jamani hili linawafanya wengi hata kutokuwa na amu ya kuangalia mechi ule uwanja hivi vyoo ukienda utasema wako tandale pili akuna watu wanaokuwa wakisafisha kila mara maana wanatakiwa wajue zile...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Tabia ya kuleta makocha wakigeni yaelekea siyo muarobaini wa kutufanya tutambe kwenye viwanja vya soka duniani lakini hatua hizi zaweza kutusoge za mbele ya hapa tulipo:- a) Kutambua ya kuwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jaman mwenye uhakika anisaidie kunijuza kama mechi hii itaweza kuonyeshwa live na channel zetu za kibongo,
0 Reactions
202 Replies
20K Views
mhh hii hadithi hii sio ya kucheka . Klabu yenye mafanikio makubwa kama liverpoo inaweza kuingia kwenye matatatizo haya . Klabu yenye mfanikio makubwa ndani ya uwanja kuliko hata asernal...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau mechi ya jana imepita na kisago tumekishuhudia. Bado tuna mechi nne,mbili away na mbili nyumbani. Nafasi ya kufaulu bado tunayo? Ndiyo tunayo.Swali: Ushauri gani tuwape TFF wa kuboresha timu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
WanaJF, NAOMBENI mwenye kukumbuka vema anitajie kikosi kilichoifunga sports club villa ya Uganda mwaka 1991 au 1992. Enzi za akina Majjid Musisi, Hassan Hafif na Zamoyon Mogella. Pia nijulishen...
0 Reactions
1 Replies
8K Views
http://www.youtube.com/watch?v=DRG7N_koxF0
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa alie karibu na kocha mkuu wa taifa kwanza nampa pole kwa yaliotokea leo jioni pili naomba ajitayarishe sasa kuwsikia watanzania halisi ni wapi na si wale waliomshabikia draw ya algeria...mpe...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Usipocheka Niambie Tanzanian's Immigration Department gave a statement as to why the friendly game between Japan and the mighty Taifa Stars was cancelled in the 11th hour: "Ni habari za...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
  • Closed
Haya tena weekend ijayo kutakuwa na mtanange kati yetu na Morroco pale National Stadium na hii itakuwa mechi ya pili ya kimashindano ya kocha Poulsen baada ya ile ya sare ya 1-1 dhidi ya Algeria...
0 Reactions
56 Replies
8K Views
Mtanzania Suleiman Nassoro ametangaza nia yake ya kuinunua klabu maarufu ya liverpool.SWALI Je ni kweli huyu bwana mfanyabiashara ana uwezo wa fedha za kuinunua hiyo klabu au ni kutaka umaarufu?ni...
0 Reactions
36 Replies
7K Views
The world soccer governing body, Fifa, on Monday finally decided to slam Nigeria with a suspension with immediate effect. Fifa’s emergency committee after weighing all the evidences before it...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Huu ni ushauri toka kwa Dr.Bruno Munufu aliyepo safarini uarabuni kwenda TFF,tafadhari wapange mechi kati ya Taifa Star na moroco ichezwe tarehe 10/10/10 kwani siku hiyo ndio haswa yenye bahati...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kwa mara ya kwanza FIFA wametoa kauli kupinga RAFU za kijinga zinazotishia career za wachezaji wa mpira wa miguu. Kuna baadhi ya mameneja wa timu kubwa wamekuwa wakilalamikia RAFU zisizokuwa na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Born in the Democratic Republic of Congo, Dikembe Mutombo came to the United States on an academic scholarship to study medicine at Georgetown University. But his career path soon changed after...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari kutoka mtandao wa Sky News zinaeleza kuwa Klabu ya Liverpool ya Uingereza imeuzwa kwa mmiliki wa Boston Red Sox.
0 Reactions
0 Replies
962 Views
Kazi ipo watanzania tukaangalie waatanzania wakiwaaiibisha morocco
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wanandugu niko karume namwona kijana wangu hapa nimecheka mpaka basi...ikabidi niende msalani gafla kabla ya kukuta flagin nimewekewa kwenye meza nkawambia nyiee mi siumwi ila tanzania kuna mambo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
October 6, 2010 Liverpool's board of directors have announced the sale of the club to New England Sports Ventures (NESV) despite opposition to the deal from American co-owners George...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom