Huyu ameomba kazi ya kuifundisha Taifa Stars mara mkataba ya Maximo utakapoisha baadae mwaka huu.Wadau wa soka mwaonaje je kocha huyu ataleta mafanikio?
Source: Dimba la Leo 20 Jan. 2009...
Sammy Sosa alivyokuwa mwanzo na sasaMonday, January 18, 2010 4:58 AM
Mmarekani mweusi Sammy Sosa ambaye aliwika sana enzi zake kwenye mchezo wa Baseball amebadili rangi ya ngozi yake kutoka nyeusi...
Top 10 World Cup goals of all time
Maradona's goal of the century, Owairan's slalom-like run, and Gemmill dances around the Dutch
Last Updated: Thursday, November 26, 2009 | 1:39 PM ET
1)...
Kwa kipindi cha muda mrefu nimekuwa najiuliza hivi kwanini mfungaji bora wa ligi yetu ya Bongo siku zote huwa n magoli machache mara nyingi huwa hawafiki 10 au 8 wakati kwa wenzetu wanafika hata...
Referee aamua kutoa gori kwa mpira uliogonga mwamba na kutua 1.3M mbele ya mstari wa gori. Hata wachezaji waliopewa gori wanaona aibu kushangilia. Nafikiri refa huyu itabidi akapimwe macho kabla...
Overall we're impressed; architecturally unique, it seems most of the stadiums are nearly ready to go. To view slideshow go to
www.mg.co.za click on SA Soccer World Cup Stadiums
The Local Organising Committee (LOC) has slammed a British company marketing stab-proof vest to football fans visiting South Africa for the World Cup as "scare tactics" to make money off crime...
Henry could face FIFA sanction
Wednesday, 2 December 2009 16:12
Thierry Henry is to be investigated by FIFA's disciplinary committee over his handball against the Republic of Ireland in the...
The 2010 Fifa World Cup local organising committee (LOC) confirmed on Monday that moves are afoot to change the way tickets are sold in South Africa in order to accommodate local fans.
Speaking...
1958 World Cup: A legend is born
A 17-year-old Pele, left, shot to international fame at the 1958 World Cup in Sweden. (AFP/Getty Images)
The 1958 World Cup in Sweden marked a new era in the...
Caf acknowledge Malawi complaint
By Richard Connelly
BBC Sport, Luanda, Angola
Malawi players wait on the bus after being refused access to training ground
The Confederation of...
Nimekuwa nikifatilia kwa karibu mwenendo wa soka latu hapa Tz, kwa muda mrefu nimekuwa nikiona kabisa (kwa mtazamo wangu) kuwa hizi timu mbili za Simba na Yanga huenda zinachangia sana kudidimia...
haya kwetu sie wapenzi wa soka hasa soka la bongo tutaweza kujinafasi tena kwenya shamba la bibi uwanja wa uhuru twende wote tushuhudie na tuweze kuona wapi pa kurekebisha ili tuinue soka letu na...
http://www.youtube.com/watch?v=ewKsKe8XiRA
Jamani nimeusikia wimbo wa Lady Jay Dee, wimbo huo unasema mtarimbo umelala doro.
Nimejaribu kufikiria nini maana ya wimbo huo?
Nikaangalia...
http://www.wow-nike.com
This is a professional online store, all the products in our shop is in promotion now,
you only need to come and see, You'll find the shoes or bag you want!
We are...
Wajameni nimeikumbuka hii timu enzi zake ikitamba na wachezaji kama Juma Mgunda,Kasongo Athman,Mohamed Mwameja nk.sijui imepotelea wapi,kuna mwenye habari wajameni?
Africa kuna mambo, hebu msikie huyu waziri............ So dissapointing, na aibu, propaganda everywhere! Lakini si hata wa kwetu wana mitizamo kama hii sometimes????
Minister Shamu blames West...
Wadau habari,
Kwa mpira walioonyesha jana Nigeria inaonesha kabisa kwa sasa hawana kitu kipya. Hawajui kabisa jinsi ya kukaba na kutafuta mipira wanapopoteza. Hawana umakini uwanjani.
Ndo mana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.