Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Najua wengi itakua ngumu kunielewa. Huyu jamaa amewekwa pale Ili kuwapumbaza wanasimba na wanasimba bila kuwa na uelewa wanamuona kama ni Mtu wa maana sana. Hivi hamjiulizi kila siku anaropoka...
6 Reactions
30 Replies
2K Views
Nikweli usiopingika kuwa Soka la tanzania limetawaliwa na mashabiki wanaoendeshwa na mihemko, hii hapa Orodha ya wachezaji wazuri waliokimbia Clabu zao na kutundika Daluga au kuhamia vilabu...
5 Reactions
14 Replies
1K Views
Rais wa WBC Mauricio Suleiman atoa pendekezo kuwe na V.A.R kwenye pambano la wababe kati ya Tyson Fury (Gypsy King) na Oleksandr Usyk (The cat). Mauricio hakuishia hapo apendekeza pia kuwe na...
7 Reactions
15 Replies
1K Views
Leo Simba Wana tukio (event) pale Dodoma mgeni rasmi akiwa Naibu Spika Zungu. Kinachonifanya niseme chanzo cha matatizo ya Simba ni Viongozi ni pale Mjumbe mmoja wa Bodi aliyepewa nafasi WA...
14 Reactions
33 Replies
2K Views
Walio karibu na huyu jamaa embu wamuangalie au wamshauri aachane na SIMBA, familia yake imshauri aachane nao..hawaoni kama anawehuka hivi? Huyu jamaa anaanza kuwehuka flani hivi yote hii kwa...
5 Reactions
17 Replies
698 Views
Simba SC haishindi kwa Ubora wa Kocha wa muda Mgunda bali baada ya Viongozi baadhi wa Simba SC ambao wana DNA na Yanga SC pamoja na Matajiri wao wameshamaliza Jukumu lao walilopewa. Mpango ulikuwa...
12 Reactions
44 Replies
3K Views
Meneja wa Golikipa Aishi Manula amesema, Djigui Diarra ni usajili bora zaidi wa Yanga katika mafanikio yao ya kutwaa Ubingwa wa ligi kuu misimu (3) mfululizo" Jemedari Said amesema hajawahi kuona...
5 Reactions
20 Replies
2K Views
Nikiwapa semina kwenye idara ya habari, nileteeni yule comedian wa makolo (Ahmed Ally) naye apokee somo, mlete hata kwa viboko.
8 Reactions
24 Replies
1K Views
Najua mtatuchoka lakini hakuna jinsi ndio Yanga tamu Tunaomba tukicheza na Dodoma tualikwe hata nje tu bungen tupate chai na spika na pongezi zenu
0 Reactions
5 Replies
462 Views
Mdau we unasemaje? Waingereza nao huu mfumo umewachosha. https://www.bbc.com/sport/football/articles/c4n1ndlknk1o
0 Reactions
6 Replies
379 Views
Maisha yana njia tofauti kutufunza kuwa wapole na subira hasa pale tunapojiona tumefanikiwa. Watu wanashinda kujisifu robo fainali 5 hana cha kujifunza kwa mwenye robo fainali moja. Haya mwenye...
5 Reactions
24 Replies
940 Views
Binafsi nimeridhishwa sana na aina ya mpira unaocheza timu ya Yanga, controll ya mpira+ utulivu na kasi. Nimeona timu ikianza kufanya build up kwanzia nyuma na wanafika hadi mwisho. Mpira...
30 Reactions
80 Replies
4K Views
Nikiwa kama shabiki kindakindaki wa klabu ya Simba sc ,nathubutu kusema kwa kinywa kipana kuwa Yanga atatwaa tena ubingwa wa ligi kuu ya NBC msimu wa 2023/2024. Naitazama Yanga kwa jicho la...
4 Reactions
9 Replies
1K Views
Wakuu Leo nimelia sana Baada ya kufuatilia record za timu zenye makombe mengi ya Ligue na kuja kugundu kuwa Simba Wana makombe = 22........lkn wababe Yanga Wana makombe = 30 ......na ligi ilianza...
1 Reactions
6 Replies
488 Views
Kama kuna mdau anaelewa, hivi huyo Okra mchezaji wa Yanga yuko wapi? Haonekani kwenye benchi na haonekani jukwaani na hakuna maelezo iwapo ni majeruhi, yuko wapi?
0 Reactions
25 Replies
2K Views
MAKAMU WA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA AFUNGUA MKUTANO MKUU WA BARAZA LA MICHEZO YA MAJESHI DUNIANI Mkutano Mkuu wa 79 wa Baraza la Michezo ya Majeshi Duniani (CISM) umefunguliwa rasmi...
0 Reactions
0 Replies
303 Views
Rais wa klabu ya @yangasc Injinia @caamil_88 ametoa elimu kwa uongozi wa klabu ya @tpmazembeofficiel ambao wamefika makao makuu ya klabu hiyo hapo jana wakitaka kufahamu ni namna gani klabu ya...
5 Reactions
28 Replies
1K Views
"Nichukue fursa hii kuwapongeza sana viongozi wa Simba, wako very very smart, wanaakili wana brain nzuri ya kujua mpira, yule kocha (Benchikha) alishafika mwisho lakini sisi kama Yanga...
1 Reactions
18 Replies
947 Views
Naishauri TTF wairudie mechi ya Simba na Yanga. Ichezwe next week mashabiki tutachangia gharama za mchezo.
5 Reactions
40 Replies
2K Views
Nchi ya San Marino imeshinda mechi moja tu kati ya mechi zaidi ya 200 iliyowahi kucheza. Mechi yao rasmi ya kwanza kucheza ilikuwa ni mwaka 1990. Hata hivyo mechi hiyo ilikuwa ni ya kirafiki...
4 Reactions
24 Replies
2K Views
Back
Top Bottom