Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Msije kusema sijawaambia, weka milioni 10 mpe Yanga ashinde ujishindie milion 20 za bure kabisaa. Kumbuka Max Nzegeli ndio amebeba hirizi ya timu na ule uwezo utakaouonesha leo jueni ni ndumba...
2 Reactions
5 Replies
581 Views
AZIZ KI: GOLI LANGU LA KWANZA KWENYE MECHI IJAYO NI KWA AJILI YA MH. MAVUNDE Azizi KI Amemuaminisha mjumbe wa baraza la wadhamini Yanga, Anthony Mavunde kuwa goli la mchezo ujao litakuwa kwaajili...
3 Reactions
10 Replies
2K Views
Hivi Mo Dewji unafanya nini Simba SC Kwetu hadi hii leo? au unangojea tufungwe 7-0 Wiki ijayo na Yanga SC ili tukutoe kwa Vipigo ( vya Vichwa, Ngumi na Mateke ) ndiyo utujue kuwa tupo wana Simba...
3 Reactions
17 Replies
904 Views
1. Timu ibadili njia ya Kupitia hasa Kuingia Uwanjani kwani tumetegwa katika Mageti mawili. 2. Wachezaji wa Simba SC wakati wa Kusalimiana wasipeane Mikono na wa Yanga SC bali wagonge Ngumi tu...
7 Reactions
23 Replies
2K Views
Kusema kweli kama kuna vitu nimefikia kujidharau sana, basi ni kushabikia hizi timu nikiamini ni timu za soka. Ukweli ninaanza kuuona katika timu hizi ni usanii wa kiwango cha juu. Timu zimekuwa...
12 Reactions
22 Replies
1K Views
Katika maisha ya soka dunia nzima vijana ndio msingi mzuri wa maendeleo ya soka. Katika taifa letu la Tanzania jamii ikiongozwa na TFF kwa msaada wa serikali imekuwa ikijitahidi kuinua mchezo wa...
1 Reactions
1 Replies
263 Views
Nitakuwa natokea maeneo Kololo karibu kabisa na ulipo Uwanja wa Ndege ( hasa Helicopter za Kijeshi na ya Mheshimiwa Rais kwa sasa ) wa Kololo Airstrip, hivyo kwa Watanzania mliopo hapa Kampala...
6 Reactions
22 Replies
2K Views
Kuna mjadala unaendelea mitandaoni juu ya hali ya hamasa kuelekea mechi ya kesho. Mashabiki wengi wa Simba pamoja na viongozi wao wanasema derby hii imepoa kwa sababu wao sio wenyeji na...
1 Reactions
13 Replies
681 Views
Shirikisho la soka Afrika (CAF) limefanya mabadiliko ya timu ya waamuzi kwenye mchezo wa kombe la Shirikisho kati ya USM Algers dhidi ya RS Berkane ambapo Mwamuzi wa Mauritania, Beida Dahane...
2 Reactions
35 Replies
3K Views
Kutoka kwa mchambuzi wa masuala ya soka, Edo Kumwembe ambaye amefunguka sakata la mshambuliajiwa Pyramids Fc ya Misri, Fiston Mayele kuwatupia madongo waajiri wake wa zamani, Klabu ya Yanga...
18 Reactions
74 Replies
3K Views
Habari wakuu, Leo kutakuwa na droo ya robo fainal ya ligi ya mabingwa ulaya. Timu nane zimefuzu kwa ajili ya droo hiyo, ambazo ni; Arsenal (England) Atletico Madrid (Spain) Barcelona (Spain)...
14 Reactions
230 Replies
10K Views
Eti ndugu zangu Simba kwa mfano Kesho tena Simba mkafungwa 5 na yanga mtafanyaje? [emoji23][emoji23]
10 Reactions
61 Replies
2K Views
Ila Mpira bhana yan kuna watu wameibuliwa huko wameona mashabiki wa Yanga wanajiamini sana kua Simba lazima afe Jumamosi wao kuona vile na kwa kuangalia jinsi mashabiki wa Simba vile hawana usemi...
7 Reactions
20 Replies
1K Views
Habari Mwanajukwaa. Kesho Tarehe 20 siku ya Jumamosi kunaenda kupigwa Mchezo wa watani wa jadi kati ya Yanga Vs Simba. Ila moja ya kitu ambacho hua kina staajabisha katika huu Mchezo ni Moja ya...
0 Reactions
2 Replies
595 Views
Wakati mashabiki wenzangu wa Simba tukiendelea kusherehekea ushindi huu, tuweke akilinini mwetu ukweli huu kuwa tajiri akizira tunayatimba.
2 Reactions
16 Replies
734 Views
i pray that you mobilize the players to control their emotions and play a very disciplined game
1 Reactions
1 Replies
310 Views
Sikiliza na kutazama hapa ahadi yake kuelkea Dar es salaam Derby.
2 Reactions
7 Replies
791 Views
Habari Wana jf wote. Moja Kati ya washambuliaji bora wa wa Kati kwa Sasa ni Harry kane mshambuliaji anayeichezea Bayern Munich ya ujerumani katika bundesliga. Kabla ya kujiunga na Bayern alikuwa...
1 Reactions
16 Replies
848 Views
Wakati tukiwa tunasubiri kuwaona Max na Pacome wakifanya vitu vyao pale mjini Chigali, tujifunze kitu kuhusu tofauti ya ngumi za mtaani kati ya Arusha, Dar na Mwanza. Nitajikita zaidi kwenye...
20 Reactions
68 Replies
5K Views
BODI ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), imemtangaza Ahmed Arajiga kutoka mkoani Manyara kuwa mwamuzi wa kati wa mchezo wa Simba na Yanga utakaopigwa, Jumamosi hii. Katika mchezo huo, Mohamed Mkono...
2 Reactions
23 Replies
2K Views
Back
Top Bottom