JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
  • Sticky
1. Ndugu TAMPERA NGUNAMABWOKO-Mhitimu wa kidato cha sita shule ya sekondari ya wavulana Tabora mwaka 1992. 2. Ndugu GOGOMOKA MISALABA-Mhitimu wa kidato cha sita shule ya sekondari Minaki mwaka...
98 Reactions
2K Replies
433K Views
  • Sticky
~ Got chased by the headteacher and deputy head. A whole crowd of us in school uniform were in one area our school had forbidden to enter, otherwise could result in expulsion. Only 2 were caught...
53 Reactions
723 Replies
182K Views
  • Sticky
Wandugu, Thread hii ni mahususi kwa chochote unachokumbuka enzi unasoma shule ya msingi. Mimi binafsi nakumbuka enzi zile nasoma Issale primary school kule wilayani Mbulu miaka ya 1986-1991...
16 Reactions
445 Replies
83K Views
  • Closed
  • Sticky
Kila jukwaa lina watu ambao wanakuwa ni members ‘zaidi ya wengine' tokana na mapenzi ya kila member. Katika majukwaa yote hili la CC limekithiri tabia za uchochezi na undumilakuwili kwa...
115 Reactions
91 Replies
82K Views
Dada yangu ukikutana na mwanaume amevaa kofia kama hii, kaa naye mbali. Watu wanaovaa kofia hizi, kila mwanasiasa maarufu alisoma naye shule moja, ukimkopesa pesa ndio imeisha hiyo, kama ni baba...
5 Reactions
54 Replies
879 Views
Hakika si kilimo tu, sasa wameingia katika dunia ya teknolojia ya habari na mawasiliano kwa kasi kubwa.
7 Reactions
23 Replies
471 Views
Salamu wakubwa jaman nilikua na survey Kuna member since 2007 ndo natambaa sijui ila ivi mnajuaga kama Kuna watu wamepotea, au hatupo nao Tena ila muendelee kutupa madini nawaheshimu viongozi...
19 Reactions
144 Replies
800 Views
Shkamoo mama, najua protocol haziruhusu ila naomba unialike hata tusipo onana ni sawa, nahitaji tu kunywa chai ya ikulu na kupunga hewa kwa nusu saa kabla sijarudi mtaani kuendelea na utafutaji...
2 Reactions
10 Replies
140 Views
Binti Sayuni03 maneno yako ni mithili ya upepo mwanana unaovuma kwa utulivu, ukigusa kila kona ya mawazo yangu. Kuna haiba isiyoelezeka katika jinsi unavyoandika, hisia zinazopenya bila hata...
9 Reactions
144 Replies
894 Views
Uzi huu ni maalum kwa wale wapendao kupeana likes. Hapa comment chochote kasoro lugha chafu utapata like yako saaafii! Karibuni wadau.
968 Reactions
1M Replies
47M Views
Heshima kwenu wakuu wa Jamiiforums! Kama kawaida, dunia haina usawa, ila kuna viumbe ambao wao wanaamini wameumbwa tofauti na sisi wengine. Hapa sizungumzii malaika au miungu, hapan naongelea wale...
4 Reactions
32 Replies
468 Views
The Weekend - Out of Time
23 Reactions
8K Replies
143K Views
Kama unapata changamoto hizi Dar nenda mikoani bado nchi hii ina ardhi kubwa sana tena yenye rutuba na fursa nyingine nyingi 1. Unaamka saa kumi kuwahi Gari 2. Unafika kwako saa nne usiku na...
25 Reactions
59 Replies
1K Views
Kwa kawaida kila mtu anakitu ambacho akinywa kinamfurahisha! Je wewe ni Kinywaji gani ukinywa unasikia koo limeshukuru!
13 Reactions
148 Replies
2K Views
Bado unalalamika???au ushakubaliana na mpango wa kuja VETA We njoo VETA ila jua kuwa 1.tunawahi namba,ukichelewa Kuna adhabu Kali sana sio poa 2.Hatutongozani,mambo ya maboyfriend na...
6 Reactions
37 Replies
423 Views
Kwema wakuu! Uliweza kupata milioni moja (Tsh 1,000,000) yako ya kwanza ukiwa na umri gani? Ulifanya kazi gani,uliuza nini ukaipata? Unaweza pia kushare uliitumiaje? Cc: Mshangazi dot com | Demi...
18 Reactions
173 Replies
3K Views
Habari wana JF Matumaini yangu wote mko poa kabisa. Uzi huu ni kwaajili ya wote. Lengo ni kujadili changamoto zinazotukabili, pia Kupeana support katika mambo yetu hapa JF. Tupeane mbinu za...
267 Reactions
427K Replies
17M Views
Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmojawapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nini kwa wakati huo baada ya kukosa...
290 Reactions
170K Replies
5M Views
Muda wa kusogea sogea kwenye viwanja unakaribia; vijana wa zamani wanaita muda wa kwenda kuamsha popo. Ni muhimu kujipongeza kidogo pale panapo wezekana, na si kila siku kuwa bize kwenye...
1 Reactions
2 Replies
51 Views
Kupenda, kuponda, hata kuchukia ni haki za mtu. Je ni members wapi unawakened au kuwaponda hapa jf na kwanini?
8 Reactions
84 Replies
1K Views
Aisee hii kwangu toka nmejitambua hii siku Huwa inanikuta Sina pesa je ni Mimi tu hii Hali hunitokea? Njooni mtoe ushuhuda wakuu
4 Reactions
17 Replies
142 Views
Nikiwa chuo mwaka wa pili hii siku ilikuwa ni siku ya game ya UEFA (UCL knock out stage) kati Liverpool na team flani siikumbuki. Kawaida yangu game kama hizi mara nyingi nilikua naangalizia...
9 Reactions
24 Replies
471 Views
Mwanamke mmoja amekutwa akiwa mtupu katika ofisi za TANESCO manispaa ya songea mkoani Ruvuma, mwanamke huyo inadaiwa alikua akisafiri kwa UNGO akitokea mkoani Mtwara na akielekea Nyasa lakin...
4 Reactions
38 Replies
655 Views
Back
Top Bottom