JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Nimeandika andiko kwa ajili ya kutafuta hela za ujenzi wa chuo kikuu matata, ambacho kitakuwa kinafundisha mambo ya biashara kuanzia ngazi ya cheti mpaka PhD. Katika andiko hilo, nimependekeza...
1 Reactions
1 Replies
37 Views
Unapotoa lifti kwa baadhi ya watu tegemea mambo haya, - Wizi/ukwapuaji - si ajabu umempakiza mkaka mtanashati au mdada mlimbwende lakini anaposhuka akaondoka na kitu chako hasa hivi vitu vya...
8 Reactions
34 Replies
1K Views
Ukitumia somo la historia, kama somo la kukupa mbinu za kupambana kimaisha, linaweza kukusaidia. Ebu fikiria ukoloni ulivyoingia Afrika, kwa kutumwa wajumbe mbalimbali kuja kufanya utafiti na...
4 Reactions
37 Replies
290 Views
Tazama huyu mwizi wa simu alibambwa kirahisi hadi akaona aibu mwenyewe
1 Reactions
6 Replies
232 Views
Wakuu Humu kumekuwepo na dharau za hapa na pale humu jukwaani.unakuta mtu anakushambulia,anakutukana kwamba mnalingana umri, cheo, au mali. Unakuta mtu anadharaulika mtaani kwake lakini jukwaani...
19 Reactions
202 Replies
2K Views
Najua una majonzi kwa kuwa uliyempenda hakupendeka na kutumia njia ya kistaarabu kumuacha kwa majonzi, nimekuja mwokozi kukufuta machozi kwakukupa penzi la dhati Nakupenda mpenzi amini...
16 Reactions
457 Replies
22K Views
Ukitaka kufuta namba ya mtu, usiseme "simu iliibiwa" au "nilipoteza namba." Kuwa mkweli: "Nimefuta namba yako kwa sababu niliona huchangii maendeleo yangu kwa vyovyote." Ukweli unaokoa muda na...
0 Reactions
0 Replies
40 Views
Kwa jamii nyingi kijana akishapata umri basi anaonekana ameshakuwa mkubwa na hastahili tena kuwepo hapo kwako mzazi na mara ingine kama ataendelea kuwepo, basi atakereshwa almradi aondoke akaanze...
12 Reactions
72 Replies
1K Views
Hellow Leo hatupiki leo tunatoka out kidogo kusafisha macho Kwanza nilianzia kanisani kubugujika kidogo baada ya hapo nikawa nawaza kichwa kizito so niende sehemu ya karibu na hapa nikaona ni...
4 Reactions
20 Replies
246 Views
5 Reactions
39 Replies
750 Views
Mzuka Wana jamvi. Yerereeee rereeeeee!!!! 1. Imekaa kinyamwezi 2. Iko really 3. Toka nijiungeJf sijawahi kuibadilisha 4. Ina vitamin zote 5. Sina haja kutongoza humu mademu automatically...
18 Reactions
85 Replies
1K Views
Hii video ameipost Mwenyewe humu Jf kwenye uzi mmoja hivi ...
12 Reactions
52 Replies
1K Views
Za alasiri wana jf, Kwa watu tunaoishi dsm huu ndo ukweli mchungu hakuna sehemu inayoongoza kwa pisi kali dar es salaam nzima kuzidi Sinza haipo na haitakaa itokee sio makalio makubwa, shepu...
10 Reactions
182 Replies
3K Views
Wana jamvi kidogo mnaweza kukusaidia hili. Kwanini mtoto akizaliwa wanasema lazima alie. Umewahi kujiuliza kwanini asicheke? Ama anamaanisha ameingia kwenye Dunia ya tabu shida na dhiki kubwa...
2 Reactions
7 Replies
177 Views
ugonile, Binafsi kuna members nimemiss sana uwepo wao humu jukwaani lakini kwa bahati mbaya sana humu uhuru umezidi, kuna wengine hawapo kwa sababu mbalimbali ikiwemo Ban, kubadili Id n.k...
20 Reactions
216 Replies
3K Views
Scenario 1; Mwaka 2016, Novemba, Dar es Salaam, Sinza, lodge ya Twiga: Tulikuwepo tupo mitaa ya Katalaunya pale na wanangu km watano hivi tunakula maji/pombe za kutosha. Ilivyofika mishale ya...
23 Reactions
398 Replies
38K Views
kipindi naifahamu Facebook, rafiki yangu mkubwa alikuwa Marehemu Steve Kanumba....na nina uhakika alikuwa ni yeye haswa maana kuna matukio ambayo alikuwa anaya post yalikua real kabisa ya muda huo...
1 Reactions
29 Replies
1K Views
Japo ni mida ya wanga na wengi wamelala ila walio macho shikamoonii Mshana Jr pengine muda huu umelala ila sio mbaya kutakucha na utaamka(uamke salama kabisa) Anyway nakumbuka niliomba...
5 Reactions
16 Replies
286 Views
Huyu mtumishi namkubali anakula mshahara wa halali Ametukumbusha kuhusu matepeli Kwa siku tutapokea SMS hazipungui 10 za SITAPELIKI Sasa😅 imetosha kaka, ujumbe umeeleweka Na hakika SITAPELIKi...
17 Reactions
27 Replies
411 Views
Uzi maalumu kwa wana JF walio zaliwa Mkoa wa Tanga Hata kama haupo Tanga ila Tanga ndio Nyumbani basi husika Hapa. Dhumuni ni kufahamiana. Wa T.A tujimwae mwae humu. TANGA NDIO HOME
28 Reactions
1K Replies
100K Views
Back
Top Bottom