JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Habarini wakubwa wa kazi,maandalizi ya watani kunyoana kesho nadhani yanaenda kwa kasi nzuri….Rada za huku kwangu zinasoma kwamba bado tabu iko palepale,ila mwishoni mwa ligi watakaoteseka kesho...
9 Reactions
21 Replies
583 Views
Evelyn Salt You comment like a dude. You post masculine. Unabishana kibabe Simaanishi kwamba wanawake ni weak ila kwa macho yetu ya kiJF unatiki kila box za kuwa boyish Are u a dude, stud or...
32 Reactions
207 Replies
3K Views
Kila Mtu kwenye maisha kuna wakati anaamua kucheza kamari na maisha yake anaona Liwalo na Liwe, ikitiki Nimetoboa ikibuma FRESH (Kakubali Matokeo) Ni wakati gani kwenye maisha yako umeshawahi...
13 Reactions
59 Replies
945 Views
Nimeogopa sana! Kama usafiri wenyewe unakuwa hivi nitafia kwenye kwenye daladala sijui mwendokasi😭😭 Na mimi ni mfupi kama Evelyn Salt binamu yake cocastic
11 Reactions
29 Replies
525 Views
Kwema wakuu baada ya kutumia pombe kwa kipindi cha miaka 11 tarehe 7.3.2025 nimeacha pombe Rasmi na pia nachagua Marafiki ambao hawanywi pombe bahati nzuri Mpenzi wangu Hanywi Pombe Nakushauri...
6 Reactions
44 Replies
770 Views
Jisamehe kwa kukaa muda mrefu wakati ulipaswa kuondoka ...
64 Reactions
1K Replies
33K Views
Wakuu niaje. Umewahi kutumia kitu, baada ya kukitumia ukagundua kimeexpire. Ulitumia kitu gani? Ulichukua hatua gani baada kujua? Nini kilifanya mpaka ikawa hivyo? Ulijisahau! au ilikuaje.
3 Reactions
46 Replies
484 Views
If you know, you know!
5 Reactions
2 Replies
90 Views
Hapa bila Shaka itakuwa ni Bunda Vijijini
13 Reactions
66 Replies
3K Views
Kwema!
4 Reactions
25 Replies
392 Views
Hello Guys, kama kuna mtu yotote Anaenda Arusha kesho na private car please Naomba lifti, nitachangia kidogo mafuta. Asante.🤝
1 Reactions
0 Replies
40 Views
Nigeria huwa wana content za comedy za kitoto sana, hazina ladha, English yao mbaya sana. Karibia content yao yote comedy siku zote ni kama ya walinzi wa getini wa bongo movies.
3 Reactions
20 Replies
306 Views
Hii siku kuu ya wanawake hua ina mbwembwe nyingi hadi kuwafanya kama miungu flani hali ya kua mioyoni mwao wanajua ushetani waliouficha. Mungu tukubalie saumu zetu 🤲🏼 .
1 Reactions
4 Replies
182 Views
  • Redirect
Wanabodi, Huyu jamaa sio kawaida yake kabisa kuacha kutupa threads mbalimbali kila baada ya muda mchache siku kwa siku, Nini kimemkuta huyu mwanafamilia wa jf? Yoyote mwenye taarifa zake atujuze.
3 Reactions
Replies
Views
SLOW DOWN 1. If You Are Looking For Wealth, Somebody Is Looking For Health. 2. If You Are Looking For Health, Somebody Just Died. 3. If You are Looking For Power, Somebody Has Acquired And...
0 Reactions
1 Replies
61 Views
Mwezi wa Pili unaisha leo, wale mliozaliwa tarehe 29-02 endeleeni kusuburi mpaka 2028! Wazee wa mwaka wa kuforce mipango ya kuitwa Boss imekaaje kwa mwezi wa 3? Wale ambao LBL imewasaula...
5 Reactions
28 Replies
379 Views
Wana Chit Chat!!! Huu uzi unawekwa hapa kwa malengo mazuri tu kama vile; 1.Kuepusha kuharibu nyuzi nyingine!! Inatokea mara nyingi sana hapa jukwaani, mistari inashushwa sehemu yoyote ile so...
66 Reactions
11K Replies
507K Views
Mods: Kuna Threads Nyingi sana zime/zinaaanzishwa juu ya Babu Loliondo, Hii ikiwa mojawapo. Ningeomba kama kungekua na uwezekano wa kuziunganisha zote. Or just One thread with sub topics ie...
1 Reactions
393 Replies
32K Views
Wakuu Poleni Na Mihangaiko ya Ujenzi Wa Taifa", Naamini Mitaa Na Maisha Havihitaji Hamasa,Naamini Vinahitaji Uzoefu", Kaka/Dada Zetu Mlioweza Kupiga Hatua kimaisha mje Mshare Nasi Experience...
5 Reactions
33 Replies
381 Views
Back
Top Bottom