JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Asubuhi mmeamkaje. Niseme hivi Gentlemen wa jf mjitahidi sana kuwa makini na sisi mabinti wa jf. Juzi nimefungua Acc nikajaribu kuwa real na kueleza uhalisia wa mambo hasa yanayotukuta sisi...
11 Reactions
165 Replies
4K Views
Habari wakuu Sijapata neno sahihi la kiswahili linaoendana na hobby. Hobbies ni kitu unachofanya kinachokupa furaha au kuridhika hasa muda unapokuwa uko free. Hobbies nazopenda Kusikiliza muziki...
9 Reactions
196 Replies
2K Views
Tupeane uzoefu wakuu, inauma sana unaweka chapisho lako kuhusu mambo ya kilimo mtu anakuja kuchati na demu wake, mara mashemeji, mara mawifi, hivi hawa mademu zenu muliwapataje muliwa aprochi...
4 Reactions
17 Replies
329 Views
Leo mambo mengi sana humu mara kafara, mara watoto kupigwa, karibuni tujipumzishe jamvini. Ikiwa umenuniwa na bebi wako au umefanya msala au hujisikii tu kuliomba tendo directly ila hamu...
4 Reactions
135 Replies
2K Views
Kuna mwamba kauliza jana "hivi wenzangu mnawezaje kupiga bao tatu wakati mimi moja inatosha tu na huwa inakinai" Hii yote ni kutokana na mwamba kusoma posts nyingi humu kila mtu anajisifia kwenda...
23 Reactions
172 Replies
2K Views
Kuna Dada mmoja anamporomoshea kashfa na kejeli za kila namna mume wake wa zamani, akimwita ka Omari. Mbaya zaidi huyo ka Omari kakaa kimya, hajibu chochote
4 Reactions
17 Replies
554 Views
Tuanze na faida -Uhuru wa kujiamulia mambo yako mwenyewe pasipo ulazima wa kushauriana au kumshirikisha yeyote. - Hauwajibiki kwa yeyote. Hakuna wa kukuuliza, mfano-saivi uko wapi (hili swali...
7 Reactions
12 Replies
258 Views
Dondosha jina la mtu anayekufurahisha JF anavyoandika nyuzi zake au replies. Mallerina unanifurahisha sana na majibu yako kwenye threads. Najua siwezi kukuanzishia nyuzi bure bure my future...
10 Reactions
83 Replies
981 Views
Kuna masomo yana zeesha kuliko wanywa gongo na wabeba mizigo. Kijana alikwenda kusomea engineer kwa kipindi cha mda wa miaka 5 urusi.
4 Reactions
12 Replies
333 Views
Leo nimewaza, kweli kutojuana kunatupa nguvu humu JF. Binafsi, nina uhakika wapo watu tunafahamiana kwenye maisha ya kawaida ila ID zimetuficha. Hata huko kwenye replies watu wanavyotiana spana...
25 Reactions
147 Replies
2K Views
Swali kuu ni je, Hamisa angekubali kuolewa kama Azizi angekuwa bado yupo hivi?
2 Reactions
4 Replies
300 Views
Jf, kuna watu wametu-inspire, mambo mengi bila hata wao kujua. Kupitia mada hii wataje/mtaje member, aloku-inspire ktk jambo fulani. LIST YANGU: 1. WALONI-INSPIRE KTK SANAA YA UANDISHI Robert...
25 Reactions
213 Replies
3K Views
Poor Brain mapenzi yata kuua min -me endelea kufanya meditation
19 Reactions
748 Replies
7K Views
  • Redirect
Popote pale utakapouona uzi wangu mimi Tajiri sinabaya, au uzi wa GENTAMYCINE usiupite bila kuusoma, huwezi kukosa MADINI ya kutosha kwenye kila herufi ya maandiko yetu. Asanteni sana.
7 Reactions
Replies
Views
Hivi kwanini pombe imekuwa overrated kama wachezaji wa Uingereza!!? Naamini wengi wameingia kwenye ulevi kwa ajili ya kufata mkumbo. Na wengine kutokana na ile mentality iliyozoeleka kuwa kunywa...
19 Reactions
129 Replies
2K Views
Tuone hapa mwandiko wako namna ulivyo, kuna wengine wana mwandiko mzuri, na kuna wengine Tuna mwandiko kama bata anaharisha.. Show your hand writing hapa ikiwa kwenye karatasi au hata kwenye simu...
23 Reactions
683 Replies
35K Views
Kuna tofauti gani kati ya sala na maombi pia ni wakati gani utatumia hichi utaacha hichi:)
1 Reactions
4 Replies
240 Views
3 Reactions
36 Replies
444 Views
Ndugu yangu Lucas Mwashambwa kapatwa na nini siku hizi? Zamani alikuwa anaandika mabandiko mareefu yenye ucheshi ndani yake na alikuwa anawajibu watu kwa ucheshi vile vile. Lakini siku za hivi...
14 Reactions
62 Replies
843 Views
Back
Top Bottom