Sometimes mtu una miss tu ugomvi na kutukanana na majibizano ya hapa na pale na hauna watu wa kugombana nao
Huku kwetu kila mtu na habari zake yaani kila mtu yupo ndani ya yard yake hauwezi...
Basi bwana juzi baada ya kipindi kirefu kupita nikiwa nimejichimbia huko kijijini kwetu Ushongo pangani, nikaona isiwe tabu niende mjini kati Daslam kwaajili ya kununua mahitaji mbalimbali kwa...
Wanajamvi kwema.
Nilikuwa namsikiliza chino wana man 😂.
Kitu ambacho kilimkata sana kipindi anajitafuta mpaka akalia.
Anasema miaka hiyo kulikuwa sherehe, sasa mesen selekta akampgia simu...
Mwanamume mmoja aitwaye Leavan Namayi Lubanga Mkazi wa Kaunti ya Homa Bay Nchini Kenya, ameshitakiwa Mahakamani baada ya kushindwa kulipia bili ya Hoteli moja ya kifahari Jijini Nairobi alimokaa...
Habari za Asubuhi wanaJF huu ni uzi wetu maalumu kwa wale hustlers ambao tunaingia kwnye mishemishe asubuhi na mapema(kuanzia saa 12- 3 asubuhi).
Hapa tutakua tunatakiana kila la kheri na kuomba...
Mimi babu wa maraha nipo zangu nyumbani nimetulia kabisa huku nikiburudishwa na Aurlus Mabele, huku home theatre likiunguruma.
Ukweli mchungu zamani kulikuwa na muziki haswa, sio kelele za siku...
African hellow
Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza hapo juu
Unazani hapa Tanzania ni mkoa gani ungekuwa kifua mbele sana kupigania nchi na mkoa gani ungekuwa nyuma
Mimi naona Dar es salaam...
Wakuu heri ya mwaka mpya 2024
Nchi gani nzuri kuzitembelea kwa 2024?
Ukiweza pia kuweka mchanganuo wa gharama za msingi kama usafiri, malazi itakuwa umesaidia wengi sana.
Pia si vibaya kuweka...
Yaani mimi kwenda usiku kumuangalia kama dada wa KAZI amejifunika vizuri ndio kitu kinakufanya mke wangu Agnes ukasirike kama hivyo🤔....
NB: Wadada wote wa JF naomba nione majibu yenu tofauti...
Nakumbuka enzi za advance(boarding) miaka hiyo kilikuja kipindi tukakibatiza jina kikaitwa PUMBU erosion
Sijui ilikuwa shule yetu tu..
Tujaribu kukumbushia kipindi hiki milikipa jina gani...
Uzi maalum wa free stress, maswali ya kufikirika na majibu yake
Yani ni kjiwe cha kahawa kilichochangamka ama ni kijiwe cha masela baada ya kuzunguka majukwaa ya siasa, intelligence, MMU na...
Nimeona Post ya Senior Member mmoja akilalamika, nikapata wazo la kuandika hii Thread.
Kuna member humu tunawachukia kutokana na Maandishi yao, Namna ya Uandishi wao, kuna wengine wakiona Uzi...
Katika kutimiza haja zangu za kirijali leo nimejikuta namtupia mistari binti mmoja maarufu humu ukumbini kwa mfumo wa PM. Sikupata adha ya kuporomoshewa mitusi Kama wadau wengine wanavyolalamikaga...
Habarini za Asubuhi Wapenzi wote wa JF,
Natumaini mmeamka salama..........kwa Upande wangu mimi mzima.
Naomba siku ya leo mimi Madame B pamoja na memberz wenzangu tuungane kusherehekea MWAKA...
. “Know life is just a game in which the cards are facing down. I’m in the world where things are taken, never given how long they choose to love you will never be your decision.”
Inasikitisha nakufurahisha ahahhahaa
Tunapiga chenga Watoto wa mungu[emoji23][emoji23][emoji23]
Dah Nlikuwa nataka niende Kanisani January hii ila wacha niende March. [emoji23]
Sent from my...
Jf udaku baada ya uchunguzi wa kina imegundua kuwa hizi kapo:
sosoliso na Paloma.....kapo feki hii
Arushaone na Lady doctor.....hakuna cha ndoa wala nini,hata kwa sura hawajuani...