JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Kuna maeneo na majina sitoyataja kwa makusudi ili kuficha walioathirika na matukio yaliyotokea ambao kwa sasa wengine ni watu wakubwa na vyeo vyao serikalini na vyombo vya dola. Ilikuwa siku ya...
17 Reactions
127 Replies
54K Views
Jana nimekutana na tukio la kushangaza sana kwenye duka la rejareja la Mhindi maeneo ya Posta mpya mtaa wa Zanaki. Ni hivi nilikuwa nilitokea kwenye jengo la Haidery Plaza baada ya kushuka chini...
3 Reactions
10 Replies
1K Views
Haji Manara ameonekana mitaa ya MJ records akiwa katika tafakari kubwa, akiingia studio na kutoka. Tetesi zinasema anajiandaa kutoa wimbo kumjibu Dulla Makabila. Habari zinasema kwamba ubishi...
7 Reactions
15 Replies
1K Views
Habari! Huwa unafanya nini ukiwa stressfully ikiwa hutumii pombe wala starehe ya aina yoyote? Bad days zinakugaja vibaya sana hazitoi taarifa😐.
14 Reactions
164 Replies
5K Views
Wakuu nimeshindwa kufanya muamala hapa maana huyu wakala ananichanganya hapa. Nimemwambia nataka nitoe pesa yeye ananiambia toa TU. Sasa mimi hiyo TU sina nina pesa nataka niitoe. Nimejaribu...
2 Reactions
31 Replies
1K Views
Huu utaratibu wachukue Chadema.
1 Reactions
2 Replies
379 Views
Jipime ufahamu wako kwa kujibu maswali kuhusu Tanzania ndani ya sekunde 60.
0 Reactions
1 Replies
296 Views
🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂 Tunakusalimia kutokea mitaa Mwanayamala hospital, Mwembe Yanga na Tandika Devis Coner na Kigamboni darajani na Sinza Mugabe na Kinondoni studio DSM. Shikamoo brother....!!!!! Salamu...
10 Reactions
146 Replies
7K Views
Kwema wakuu kama mnavyojua bado nipo kwenye ziara yangu ya mikoa ya kusini mwa Tanzania. Baada ya Newala na Mtwara na Masasi, ninaelekea Nachingwea nikitokea Masasi. Naomba watu mnaoijua...
0 Reactions
28 Replies
2K Views
Ni kitu gani kinakumalizia pesa mara kwa mara lakini haukiachi kwasababu kinakupa furaha?
0 Reactions
18 Replies
725 Views
Natumai mko vyema ndani ya hili jukwa pendwa la Jamii Forums. Ngoja niende moja kwa moja kwenye shina la huu uzii. Chapter 1 Namibia. Toka mwaka uanze nilikua nimebanwa sana na majukumu ya...
2 Reactions
6 Replies
683 Views
Kulikuwa na mtu huyu, wakati wa kusoma chuo cha ufundi, alikua ni mtu ambaye tulikuwa darasa moja pindi tupo chuo, alikuwa ni mkimya sana na hajawahi kuchangia chochote wala kuzungumza na mtu...
14 Reactions
143 Replies
7K Views
A:Waponda dar 1. joto (umaskini & njaa) 2.kero ya usafiri (jam) 3.uchafu (miundombinu) 4.maadili mabovu(usasa) B:wapenda dar 1.michoro nje nje (madeal) 2.starehe,anasa na vibe(viwanja) 3.Totoz...
1 Reactions
5 Replies
491 Views
Wakuu kutokana na hali kuto kua hali hili shindano la kutumia hela kidogo Namaanisha hakutumia pesa kidogo as much as possible Haya twende kazi[emoji3][emoji3]
2 Reactions
11 Replies
415 Views
First off, mwaga chini kiduchu kuhakiki kama ipo vizuri yaani haijaeksipaya. Utaona povu. Piga lesi ndefu ukiwa umebana pumzi, rudisha chupa mezani. Sikilizia Dk 1 then rudia tena hadi ikate...
5 Reactions
21 Replies
768 Views
Kwakua ule mpamabno wa debate kati ya Kiranga na Mwita25..umeshindwa kufanyanyika sasa naona Kuna Mpambano mwingine unaendelea kati ya mafahali wawili huo si mwingine ni kati ya FaizaFoxy Vs...
3 Reactions
213 Replies
14K Views
kibibi kilikosea nyumba ya msiba kikaingia geto, washkaji wakakifanyia mchezo mbaya weee, kilipotoka kikauliza arobaini lini nije tena? wajukuuzangu?!!
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Back
Top Bottom