JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Unaambiwa ulimi wa chui ni mgumu kiasi kwamba unaweza kutoa rangi kwenye ukuta na kusaidia kutoa ngozi kwenye wanyama anaowakamata. Lakini cha kushangaza ulimi wa mwanamke ni hatari zaidi kuliko...
2 Reactions
16 Replies
537 Views
Majina kama kuli, nyoka, bodaboda, mzibua vyoo na mzibua mitaro hayawezi kukupa morali ya kazi. Badala yake, fani hizi tukufu zingetumia majina kama 1. Kuli (angeitwa afisa wa mizigo) 2. Nyoka...
5 Reactions
17 Replies
685 Views
Anaandika BICHWA KOMWE:- Huyu bibie nampenda. Kwanza mzuri, mcheshi na ana akili mingi sana. Ukimlishanganisha na makanjanja wengine wenye majina ya kike humu, Culture Me anachukua karata ya...
8 Reactions
91 Replies
3K Views
Habari za muda huu Wakuu, Wakuu mimi leo nina swali hapa maana nimekutana na kitu nimeshindwa kuelewa cha kufanya. Nimemwomba mpenzi wangu shilingi 50,000 ila akasema hana na ana 20,000/- hivyo...
10 Reactions
66 Replies
3K Views
Baba jitu zima una zaaidi ya miaka 18, unendaje bar ukiwa hauna kitu? Unaenda bar unaanza kuombaomba bia kwa wanaume marijali wenzako, hùu ndio mwanzo wa kufanyiwa vitendo vya hovyo. Kama huna...
35 Reactions
146 Replies
5K Views
Kama unarafiki unapenda kumuwish jambo zuri mtag mie natag all JamiiForums ,na mzee namkubaligi sana humu. Na wengine wengi. National Anthem please say a word this is happy new year hujaniwish...
14 Reactions
69 Replies
2K Views
Wakati fulani katika kijiji kimoja, mtu mmoja aliwatangazia wanakijiji kwamba angenunua nyani kwa Sh. 10,000. Wanakijiji, waliona kwamba kulikuwa na nyani wengi karibu. Wakatoka mpaka msituni...
1 Reactions
5 Replies
353 Views
Hata ndio maandalizi huwa nayafanya kabla ya kukutana faragha na shemeji yenu (mke)
5 Reactions
20 Replies
916 Views
Vijana wanaofanya kazi ya kuwapaka rangi na kuwafanyia masaji za miguu wanawake wakiendelea na kazi yao. STORI: Waandishi Wetu, Ijumaa Dar es Salaam: Vijana wanaofanya kazi ya kuwapaka rangi na...
2 Reactions
11 Replies
8K Views
Kuna Mambo mengi yanaturudisha nyuma vijana ukitoa Mapenzi 😂 Dharau Ujuaji Kukosa Heshima Ubinafsi Chuki/Genye Unafki/Ufitinishaji Majungu/Roho Mbaya Najua huwezi kosa kimoja hapa jitahidi...
2 Reactions
11 Replies
349 Views
Uko kwenye foleni mahali Uko ofisini kwa watu Uko kwenye usafiri wa jumuiya Uko kwenye sherehe nknk Unapepesa macho unamuona mtu kavaa shati lakini kakosea kufunga vifungo, vifungo vimepishana Mtu...
10 Reactions
15 Replies
598 Views
Jamaa anaitwa January mwezi mgumu Sana kimaisha sio bongo tu hadi huko duniani na huyu kipara ndio jina lake sijui kama atatoboa USSR Sent from my Infinix X6511G using JamiiForums mobile app
0 Reactions
3 Replies
461 Views
February itakuwa nzuri kuliko January, Niwatakie mwezi mpya 🎉
0 Reactions
0 Replies
632 Views
Jf ni ulimwengu murua sana, una kila aina ya real life time experiencies, yani ukiwa humu unakuwa ni kama unaiona dunia na yanayoendelea ndani mwake. Kuna true stories kadhaa zimeletwa na wadau...
9 Reactions
72 Replies
14K Views
Kwanini kiingereza kukielewa ni ngumu
6 Reactions
32 Replies
2K Views
Jamaa adakwa kupitia saa janja yake baada ya kuonekana asubuhi muda ambao alitakiwa kuwa anaota (saa nane usiku) kumbe kachoma calories 500 😃😂!.
10 Reactions
20 Replies
1K Views
Mimi binafsi nilianza kumiliki Siemens C25
6 Reactions
71 Replies
3K Views
🤣🤣. Only the legend will understand
5 Reactions
29 Replies
1K Views
WANAUME kwanini mnapataga ugumu. Pale mwanamke anapokuhitaji Uende ukalale kwake?
3 Reactions
63 Replies
3K Views
Salamu niliamua kumwachia ndugu yangu GENTAMYCINE na ndugu zake wa Butiama & Nyamuswa,Kwangu mambo yote ni Shega tu!. Kiukweli mimi jina ambalo hadi leo nabaki nimeduwaa ni 1 . MLANGO. 2.MPIGA...
0 Reactions
36 Replies
1K Views
Back
Top Bottom