JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Madegree ya kwenye makaratasi tu, udsm tunamaprofesa na maphd ya injinia lakini wawajawahi kutengeneza ata wembe tu [emoji1787][emoji1787], ata hako kamewashinda kweli aisee afu unataka mm niwe...
1 Reactions
4 Replies
433 Views
Salaaam wakuu. Mimi sio mlevi wa pombe ila Nina kilevi changu, na kuacha haiwezekani.[emoji14] Back to topic. Nmekua mtembeleaji mzuri wa bar ila sasa napata shida linapokuja suala la kuagiza...
7 Reactions
214 Replies
26K Views
Habari zenu. Kuna kitu nimekutana nacho weekend hii kwa kweli sio tu kimenishangaza Bali nilisema nitashare huku labda kuna vya kushangaza zaidi. Tulikua tumekaa sehemu fulani hivi tukilipa...
7 Reactions
25 Replies
3K Views
Wakuu habari za asubuhi? Nafika kazini asubuhi hii, namsalimu jirani yangu ananiambia Tuntufye. Namuuliza hao si wanyakyusa, anasema majina yote ya wanyakyusa yana maana Tuntufye ni -...
4 Reactions
143 Replies
4K Views
Sasa kuna kampeni ya kupata vazi la taifa. Kwa ajili ya utalii na utamaduni tunatakiwa kupata vingi vya taifa. Mti, ndege, ua, mdudu, samaki nk nk. 1. Napendekeza siafu awe mdudu wa taifa 2...
1 Reactions
11 Replies
599 Views
Kwema? Hivi nyie baadhi ya wanaume unavyoandikia mwanamke meseji, huwa mnawaza nini? Mtu anakuandikia mambo? Unamjibu poa tu. Anauliza tena, Kwema? Unamjibu kwema? Anauliza tena, uko poa...
57 Reactions
595 Replies
13K Views
Mazee Leo tarehe 7/2/2024 ndiyo ile siku nimekuja ofisini alafu kichwa hakina ushirikiano na mimi Suluhisho: Kwakua nimejiajiri, nakwenda lunch ndefu mpaka mpira wa Nigeria na South Africa...
2 Reactions
4 Replies
544 Views
Je, Umegundua duniani kuna vitu mbili mbili? Giza - Nuru Moto - Baridi Chungu - Tamu Nyeusi - Nyeupe Ndefu - Fupi Nene - Nyembamba Nukia - Nuka Usiku - Mchana Jua - Mwezi Tamu - Chungu Mwanamume...
0 Reactions
9 Replies
388 Views
Haiwezekani uko kitandani na BEBI wako halafu umuache tu alale wee uko busy na mtandao. Wengi wana husika hapa...
14 Reactions
585 Replies
48K Views
1. Health workers with their patients. 2. Teachers with their students. 3. Managers with their employees. 4. Shopkeepers with their customers. NOTE THE POINT: Do not defile, desecrate &...
2 Reactions
13 Replies
543 Views
I need a friend to text me love me and share good things
13 Reactions
393 Replies
6K Views
Katika ukuaji wangu wote hadi leo, sija wahi kuvuta sigara au kunywa pombe. 👉Sio ushamba ila hivyo sio vipaumbele vyangu. Vipi Kuna wenzangu na mimi??
10 Reactions
229 Replies
5K Views
International Day Of Tolerance' Every 16th of November. Smart911 tumechoka vimesemo vya mara ooh acha waje wakupe muongozo, haunaga cha kusema kingine haha anyway much love bro.
32 Reactions
349 Replies
9K Views
1. Member wengi wa JF wanamiliki ID zaidi ya moja 2. Member wengi wa JF walianza kuwa visitor kabla ya kujiunga 3. Member wengi wa JF hupenda kushinda jukwaa la siasa, jukwaa la mapenzi na...
15 Reactions
118 Replies
3K Views
Katika uumbaji wa Mwenyezi Mungu inawezekana kuna pahala alisahau au kosea wakati wa uumbaji. Nawaza kwa upande wa mwanadamu/mwanaume hivi ni kwa nini hakuumbwa/zaliwa akiwa tayari ameshakwisha...
21 Reactions
258 Replies
8K Views
Huu ni mwaka wangu wa 30 toka mama angu mpendwa aliponileta duniani lakini wallah nawambia sindano haizoeleki. NB mimi ni mkurya wa Mara sio mwanaume wa Dar.
2 Reactions
14 Replies
459 Views
Nimejiunga kwene huo mtandao tangu 2020! Sikua mtumiaji. Tangu nilipojiunga sikuwa napost chochote wala kuweka profile.Sasa mwezi wa 12 kutokana na kutokua busy bas nikawa na upload picha zangu...
5 Reactions
69 Replies
3K Views
New.[emoji682] Used.[emoji48] Damaged.[emoji17] Only for business.[emoji389] Closed.[emoji613] Opened & free.🦾 Under maintenance. [emoji616] Opening soon. [emoji776] For VIP. [emoji41] For...
11 Reactions
37 Replies
998 Views
Basi bhana hakuna emoji ninayo ipenda kama ya kicheko cha machozi ile ndio imenifanya nizipende nyuzi nyingi za watu hata kama kaandika upuuzi/no point ila nitajikuta naukubali sana uzi/thread...
3 Reactions
88 Replies
2K Views
Kama yupo unaeshibana nae humu iwe mpenz,au rafiki embu mtag muanze kuchat chochote hata mlichofanya Jana usiku ila nas tujifunze,ikiwa mliduu,au biashara au chimbo. Nianze na hawa Criston Cole...
12 Reactions
598 Replies
11K Views
Back
Top Bottom