JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Mara ya kwanza nilidhani iPhone ni simu za watu wenye ujiko hivi au hadhi fulani. Lakini baadaye nikagundua iPhone zimekaa kidada dada, hata wanaomiliki wengi wao ni kama wana mikogo ya...
27 Reactions
41 Replies
3K Views
Wazima jamani Baada na kuachana na boyfriend wangu, sasa ni miez 5 sipo kwenye mahusiano, niko mpweke Sana sijui yule kaniachia gundu mwezenu ata sitongozwi yani kila nikijipitisha walipo...
43 Reactions
306 Replies
12K Views
Gari huna Nyumba huna Mke huna Iphone huna Halafu upo above 30 Wewe kuna jina la kukuita sio bure
7 Reactions
104 Replies
3K Views
Jana nimekutana na mwamba mmoja kavaa fresh tu na ukimtazamaunajua huyu anaelekea katika ofisi flani yenye hadhi au labda ni mtu mwenye mishe zake za kuelewekwa, lakini ajabu nikaona anaongea peke...
7 Reactions
26 Replies
2K Views
Hapa Mbeya Mjini nimejionea nyumba kadhaa nilizotembelea hali ni hiyo pamoja na kutandika vitambaa kwenye makochi.
6 Reactions
43 Replies
2K Views
Habari wana JF, Poleni na pilika pilika za hapa na pale 🤝, Binadamu mara nyingine wanaweza kuwa na tabia ya kutoa hisia au sifa za kibinadamu kwa vitu ambavyo havina hisia wala ukweli wowote, yani...
7 Reactions
101 Replies
3K Views
Mimi Leo nipo zangu hapa Landmark hotel hapa Tukuyu nikiwa nmeagiza kuku mzima tayari kwa kujiservia. Mama yenu mdogo kaenda kula likizo kwao Hapa nasubiri usiku ufike niingie kivanga top garden...
6 Reactions
36 Replies
928 Views
Meery Christmas wakuu Natumaini mu wazima siku ya leo pia pole kwa wale wanaoumwa, walemavu na kikubwa pole kwa makapuku kama mimi ambao sikukuu ya leo tutakula ugali, dagaa mchele na soda baridi...
10 Reactions
31 Replies
809 Views
Nakualika kama mtu wa karibu. Nakukaribisha chakula, unapakua Nusu hotpot kweli? Unajua tupo wanne mezani lakini unapakuwa chakula nusu Hotpot peke yako. SIJAPENDA MKUU, NA HUU NDIO MUALIKO...
14 Reactions
59 Replies
1K Views
Nawasiliana na uongozi wa juu wa JF kuhusu kupata kibali cha kuandaa mdahalo hapa JF, TOPIC nitaitoa mapema kabisa kwa washiriki kujiandaa. Mdahalo utakuwa kati ya manguli wawili wa CCM na Chadema...
4 Reactions
22 Replies
774 Views
Tupeane connection za vibes kali mjini. Wazima lakini? Mko poa?
3 Reactions
82 Replies
2K Views
Pamoja na mambo yote kuhusu Krismas, leo ni siku na tarehe ya kuzaliwa kwangu. Namshukuru Mungu kwa baraka na uzima kwa kuniongezea mwaka mwingine katika maisha yangu, daima nitamshukuru...
7 Reactions
59 Replies
2K Views
Macho yawe makavu na yasiyo pepesa pepesa, Na mdomo unene firmly
1 Reactions
2 Replies
300 Views
Jamaa mmoja akasema " aah wewe tafuta bodaboda halafu mwambie akupeleke kwenye machaka wanako patikana. Bodaboda ndio wanajua chocho zote." Hell No! Mimi sizungumzii malaya mkuu. Njia hiyo ya...
8 Reactions
56 Replies
3K Views
Hakuna apendae kuwa masikini katika dunia ya Leo na KILA mmoja anayatamani maisha yake yawe mazuri angalau apate robo tatu au nusu ya kile anacho kihitaji. katika dunia ya leo,pesa ipo KILA mahali...
1 Reactions
5 Replies
28K Views
Mimi nitasherehekea sikukuu ya krisimasi nikiwa Kolandoto, Shinyanga. Wewe sikukuu ya krisimasi inakukuta ukiwa wapi?
1 Reactions
32 Replies
915 Views
Mliooa mtupishe kwanza kwenye hili jambo letu, labda kama mnataka kutoa ushauri tu, ruksa. Msema ukweli...
14 Reactions
117 Replies
3K Views
Polisi anataka kumuuliza maswali kadhaa ili kujua uwezo wake. Polisi: Ni nini 2+2? Ahmad: Ummm... 4 Polisi: Nitajie square root ya 100? Ahmad: Ni 10 Polisi: Sawa umepatia yote, sasa, nani...
4 Reactions
10 Replies
676 Views
Hivi kuna mavazi maalum ya kuwatambua watu waliokoka hasa wanaume? Mashati kama ya vitenge au ya rangi moja kama pink, blue etc. Maana naposkia fulani kaokoka mara nyingi nikimcheki kapiga shati...
6 Reactions
78 Replies
9K Views
Skendo nyingi huwa ni za kutengenezwa na watu ili kukuchafua na kuonekana kwenye jamii kuwa wewe ni mtu wa ovyo sana Skendo ambayo staisahau kwenye maisha yangu nilipozushiwa kuwa nina mahusiano...
7 Reactions
118 Replies
6K Views
Back
Top Bottom