Jamaa yupo kwenye msiba wa dada yake, wakati jeneza linatolewa ndani watu wote msibani walikuwa wakilia. Mara simu ya Jamaa ikaita kwa ringtone ya
dada huyoo anaolewaa, dada huyoo anaolewaa...
TANUA MAPAFU S01E01
Dada mmoja alikuwa bafuni akioga,mara akasikia hodi ikipigwa mlangoni,akajibu karibu huku akijisetiri kwa taulo na kanga ili akampokee mgeni.
Alipofungua mlango,akakutana uso...
Bwana Yesu asifiwe!!!
Jaman ni mm mchungaj wenu illovo nimerudi tens nilikua natafuta UPAKO. VP jaman habr za cku?? Polen kwa majukumu,??
Kama kawaida nipo kwa ajili ya
-kushauri
-kufundisha...
Kwa wale wenzangu na mimi wenye ubia na viwanda vya TBL na Serengeti ukimaliza na kiwanda cha konyagi, na viwanda vya kienyeji vya Mbege,Kindi,Komoni,Ulanzi,Kibuku,Mnazi,Ulanzi,Kangala, na konyagi...
Nimeipenda hii habar njema
Ukitaka majungu OA MHAYA.
Ukitaka Mapenzi ya ujanja ujanja OA MCHAGA.
Ukitaka Uchawi OA MFIPA.
Ukitaka maneno OA MZENJI.
Ukitaka mapishi OA MTANGA.
Ukitaka Uume...
Dear Sun (Jua),
There's no contest,it's not even a competition. You are still the hottest thing on planet earth.
Nobody is competing with you. Please stop showing off..
Katoto kavulana kalimwendea baba yake na kuanza mazungumzo
MTOTO: (kwa uchangamfu na kujiamini) Babaa baba!
BABA: (akihamisha uso wake kutoka kwenye gazeti na kumtazama mwanawe) Wasemaje Richiee...
WAKUU WA MIKOA wamepewa siku 15 tu wahakikishe hakuna vijana watakao kaa bila kazi.
Kama kijana huna kazi unawekwa ndani.. ukitoka unajikuta huna kazi unarudishwa tena ndani..
Ukitoka unakuta...
Kunawakati wadada naona hawako serious .... Unakuta mtu anaomba Mungu daily mpaka kwenye status anaandika "GOD BLESS MY RELATIONSHIP" wakati huo ana date na wanaume 11 ... sasa si bora aseme God...
jamaa kala mzigoooo baada ya mechi demu anamwambia sikujua kama gitaa lako dogo, jamaa naye anajibu na mimi sikujua kwamba nakuja kuburudisha uwanja wa taifa Bwahahahahahahahah