Kuna wakati wadada naona hawako seriously.... Unakuta mtu anaomba Mungu daily mpaka kwenye status anaandika "GOD BLESS MY RELATIONSHIP "Wakati huo ana date na wanaume 11......sasa si bora aseme...
Nilikuwa naangalia conversion rate ya post kwa wachangiaji wakubwa ishirini wa JF. Ni sawa na kumtafuta striker bora mwenye shot conversion rate kubwa.
Nimeshangazwa kuona post za mshana jr...
Baba Caro alikutana kwenye hotel moja na jamaa aliekuwa anamdai kwa mda mrefu sana.
Walivyokutana wakawa wamekaa meza moja Baba Caroo akuuliza jamaa deni lake jamaa akaapa hadi na Mungu hana pesa...
wakuu muda nipo maeneo ya mikumi naenda dar, ila nilipofika katikati ya mbuga nilikutana na kiumbe cha ajabu yaani ni twiga mwenye kichwa cha binadamu, ana jicho moja, ana miguu ya simba na alikua...
Mchungaji alisema: Mgeukie jirani yako na umwambie Mungu yu mwema.
Waumini wote wakageukiana na kusema Mungu yu mwema.
Mchungaji: Leo nitawaombea wale wote wasio zaa. Mgeukie mwenzio na...
"...binafsi ninaomba radhi sana! Kwani sina pakushika wala pa kuanzia kimaisha... Natoka familia duni yenye UMASIKINI usio elezeka.. Hata hela ya kupika pilau mimi sina jamani leo sikukuu...
Kakubaliana vizuri na msichana fulani hivi kuwa aibuke gheto, mchizi kajipanga vizuri kabisa.... mara saa nne hivi mdada kasema hana nauli.
Mshkaji kajikunja kamtumia Elfu tano maana mwenye shida...
1.Nyani haoni - valise miwani
2.Debe tupu - weka dengu
3.Maskini akipata - itaacha iba jumbani
4.Penye kuku wengi -Chinja bili au tatu
5.Asiyesikia la mkuu -Peleka yeye polisi
6.Penye wengi -...
Wakuu,
Jana maeneo ya Posta niliokota cheni ya almasi gramu 5. cha ajabu cheni hii ufanya mambo ya ajabu ajabu kuna wakati ugeuka na kuwa, mnyororo, ugeuka na kuwa kamba, ugeuka na kuwa gari au...
Mhindi aliambiwa amalizie methali za Kiswahili
1.Nyani haoni - valise miwani
2.Debe tupu - weka dengu
3.Maskini akipata - itaacha iba jumbani
4.Penye kuku wengi -Chinja bili au tatu
5.Asiyesikia...
Kila nikizima taa na kuingia bed! Kuna mbwa wa jiran anakuja kweny dirisha langu na kubweka kwa kuunguruma!! Nikitoka nje sion kitu na pazia nimepandisha upand! Wakongwe nin maana ya Hii Mambo?
eeh mungu wape maisha mrefu wadada wanaowadharau wanaume wafupi,wanene,wabaya & wasio na pesa, waendelee kuchezewa na mahandsome na mabraza men hadi uzeeni...Aimee
Masaa machache yaliopita Wasanii nguli wa kenya maarufu kwa jina la Sautsol Wametoa Filamu yao mpya waliomshirikisha msanii nguli wa Tanzania Alikiba #kingkiba . . .
Filamu hiyo iliyoachiwa...
Umeanza kazi mwezi wa kwanza
Mshahara wako 300,000
Unamiliki handbag 120,000
Viatu 140,000
IPhone 5
Toyota nadia
Umepanga nyumba nzima kwa mwezi 300,000
ALAFU UNAENDA KANISANI KUMUOMBA...
Sabakher Wadau;
Kuna Dogo Hapa Kitaa Kaja Kuniomba Ushauri! Kwa Maana Mimi Ni Mmoja Kati Ya Vijana Kumi Tunaoheshimika Hapa Kitaa.
Ipo Hv; dogo alimpata Mwanamke Facebook! Wakatongozana...
Kama ulikwepo, Leo Ijumaa, tunaweka shida chini tunatupa mikono juu, baada ya migo migo za kumalizia dissertation, basi leo nataka nitoke na mabesthe zangu, mpaka usiku mbaya, tukalewe, hii bash...
Misichana yenye sura mbaya mara nyingi inapendelea kuweka dp za picha zenye maneno ya falsafa za kijinga au picha za marafki zao na kuandika status tata..kuna limdada sura mbaya linaitwa Mwantum...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.