Mimi binafsi nimekuwa naona wasichana ninaokuwa nao kimapenzi ni wajinga mbali na hapo hata wanaonizunguka yaani akili zao sijui zinakuwaje yaani nafurahi ninavyowafanyia kuwadanganya alafu...
jamaa mmoja aliota kuwa yeye ni kuku,tena kuku jike,akajisikia kama anataka kutaga vile,basi akatafuta sehemu iliyotulia akataga,baada ya muda akashituka hamadi,,,,,,kumbe kashusha 'kubwa'...
You're my sweetie, my sugar, my baby, my lover...so honey let me hold ya, let me love ya, forever. Wo-eh.
Hayo ni maneno yaliyomo kwenye wimbo maarufu uitwao "You're my sweet, my sugar" au "Let...
Jinsi mzunguko wa Elimu ulivyo hapa Tanzania.
01. Wale wanafunzi walioongoza Mashuleni, wanaenda kwenye Engineering na Medical school.
02. Wale waliokuwa wa pili, wanachukua MBA na LLB na kuja...
Mlevi mmoja alienda kwenye duka la dawa kununua condom mambo yakawa hivi...
Mlevi:nesi nipatie kondom za mia tano..
Nesi:hee we kaka hata huoni haya si utumie tafsida..
Mlevi akaona isiwe tabu si...
Leo hii ikiwa ni birthday ya mwanangu anaeonekana kwenye picha naomba nitumie fursa hii kumuombea afya njema kiakili, kimwili na kiroho, mungu amtangulie katika safari ndefu aliyo nayo katika...
Jamaa mmoja kakodi tax akiwa anatembea katika jiji mara akapita gest moja akamuona mkewe akiingia ndani ya gesti, jamaa akamwambia dereva simama, jee? unataka laki tatu za chap chap? dereva...
Nachoweza kusema ni kwamba leo nimepatikana kwani sikuhamini nilipoamka asubuhi huku miguu yangu ikiwa na matope mazito kana kwamba nilikua nalima usiku kucha, sijajua kama wachawi walinilimisha...
Mwelevu na Mjinga walienda ktk usaili, walipofika
kabla hawajaingia wakakubaliana aanze Mwerevu
kisha akitoka ampe majibu Mjinga ili wote wapate
kazi.
Basi Mwelevu akaingia na maswali yakawa...