:cool::cool::cool::cool::cool: today is my born day date... i thank Allah kwa kunipa nafasi hii ya kuendelea kuvuta pumzi
kuna wengi wapo hosipitali
kuna wengine wamekufa
wengine wanapigana vita...
Si kwa sababu ya kile kilichodaiwa kuwa serikali yao imeamuru wanaume kuoa angalau wanawake 2 kisa kuna uhaba wa wanaume, hiyo ni hoax! Eritrea waislamu ni kama 40% na the rest ni wakristo na watu...
Yesterday I went home very late from a function and because I had no other means of transport, I decided to use a bodaboda. On arriving home, I alighted paid the guy and left.
As I approached my...
Mtu anayejua majibu yote kuna uwezekano mkubwa haelewi maswali. Katika ulimwengu wa sasa ni vigumu sana kujua kila kitu, chagua vitu vichache unavyotaka kuvijua na vijue vizuri.
Mimi Nilitegemea Kuwa Muda Huu Ambako Hapa MAMTONI Ndiyo Kwanza Saa 5 Asubuhi Basi Hata Nikiingia Humu JF Nitakutana Na Wana ULAYA Wenzangu Ili Tuliendeleze Gurudumu La Kuwasiliana Ktk UZI...
Ningependa kukuonyesha picha niliyoipiga ambayo inamuonyesha jirani yangu akilala kwenye 'kitanda' cha theluji alichokitengeneza yeye wakati eneo la pwani ya Mashariki mwa Marekani lilikumbwa na...
Msamaha wa kweli unahitaji Neema ya Mungu. Sikiliza hii,
Kuna jamaa mmoja na Mkewe walikuwa wanasafiri kuelekea Italia kwa safari ya kibiashara kwa ndege. Wakiwa angani likatoka tangazo kwamba...
Wakuu, ni maneno gani Uliyokuwa unayatumia zamani, either utotoni ila siku hizi huyatumii tena, iwe kwa kubadili mazingira au mfumo wa maisha, au mabadiliko ya umri!?
Mi neno moja wapo ni "GIJA"...
SADIKI NA CHITEMO...
KARUDI BABA MMOJA....
JOGOO WA AJABU....
WATOTO WAGEUKA MAWE. . Daah nimekumbuka tu jamani.....acha kabisa. Wakati huo vijana wengi ambao kwa sasa mnaongoza kwa matusi Jamii...
Siku ambayo siwezi sahau
Kuna msichana nilikuwa naye katika mahusiano,alikuwa
ananipenda kweli na katika mapenzi ya kitandani alikuwa
vizuri tu.Kasoro kitu kimoja.
Alikuwa hataki tupigane ‘denda’...
Jamani hii lugha ya malkia au kuongea(kutema yai) inabidi kwenda tuition. Jamaa yangu kaniambia kasafiri siti moja na msichana mkali mrembo, binti mcheshi toka Moshi hadi Dar kwa basi. Jamaa si...