JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Mie muoga wa pikipiki ila hii machine ningepanda mpka kilwa...kitu BMW sijui mamilion ngapi?
0 Reactions
8 Replies
1K Views
KEJELI ============= MashauZ--- Edga upo kmyaa Edga---me sikai ukmya nakaa sumbawanga MashauZ---Mhmhmmm
0 Reactions
0 Replies
2K Views
This made me laugh "NINAITWA DENNES WA NJOMBE." NILIWAHI KUMPENDA DADA MMOJA ANAITWA FARIDA WADHIRI, KILA NIKIPANGA KUMWAMBIA NAKUA MWOGA NASHINDWA, CKU MOJA NIKASEMA NAJIKAZA HADI NIMWAMBIE, ILE...
3 Reactions
7 Replies
2K Views
Kipi ungependa Kutoka Kwangu,kabla Mwaka Huu haujaisha? 1=Moyo wangu 2=Furaha yangu 3=pendo langu 4=Urafiki wa dhati 5=Dua zangu 6=Msamaha 7=Mahusiano 8=Kuchat sana 9=Muda wangu 10=Kuja...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Tupia kitu ambacho huwa ukikiangalia kwa mpenzi wako unacheka kimoyo moyo ili asijue. Naanza mimi: "kiukweli mpenzi wangu ana bonge la chogo ila wigi ndo huwa linafunika chogo lisionekane".
0 Reactions
13 Replies
6K Views
Zamani tulipokuwa vijana tulikuwa tukitembea vifua mbele, vijana wa leo wanatembea matumbo mbele. Dah kweli maisha yamebadilika.
0 Reactions
0 Replies
701 Views
be happy this moment,this moment is your life!
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Leo baada ya kutoka church nikaamua kupita kwa wadogo zangu wawili kuwasalimia na kuwatakia amani ya bwana. Katika kupiga piga stori tukafikia kuulizana hivi maziko yetu yatakiwa wapi tukifa leo...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Katika basi moja lililo kua likisafiri katika siti moja ya basi walikua wamekaa shehe na padre wakasalimiana wakapiga stori had wakafaamiana katika kituo kimoja njian padre akanunua kitimoto...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
TINA:hallo bby nimekumiss JOHN: nimekumisi pia nambie bby TINA:bby ule ugonjwa wa ukiombwa ela unajibu maneno hayaeleweki ushaponaaa?? JOHN:yaah bby saiv naendelea vizuri TINA:bby nilikua nomba...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
1. Mfano sheli (kampuni ya mafuta).Ziko Total, Lake oil, BP, etc. (Niache hapo sheli) 2. Bajaji. ziko tvs, etc 3. Ongeza. Mi nimeishiwa
0 Reactions
38 Replies
8K Views
kwa wana jf wote,nawatakia heri ya sikukuu ya krismas na ile ya mwaka mpya amani na upendo daima
0 Reactions
0 Replies
842 Views
Kma ilivyo hapo juu,mziki wetu wa kizazi kipya ulianza ku~hit miaka kma ya 95 na ushehe?,album ipi kwako ilikuwa bora,yaaan ukisikiliza ktk hizo nyimbo hupendi kupeleka mbele,mm miongoni album...
0 Reactions
0 Replies
759 Views
Wakuu natafuta ndege aina ya BOEING 737 used niinunue inisaidie katika misele yangu ya kila siku na mambo fulani ya kula bata, ambaye anajua sehemu zilipo anijuze hapa please
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Da,hawa jamaa na wakubali kwa kulenga,maaana nikimwangilia hapa huyu mzeee jins nguo.ilivyo ndefu na hii speed aliyonayo jins anavyokata mikona mpaka anapinda kulia kushoto lakin nguo ipo sawa,big...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tangu shamrashamra na purkushani za kukamata majangili na wahujumu uchumi nchini zianze, hasa idara za TRA, Bandari, na Wizara kadhaa ambazo wafanyakazi wake walikuwa wanaongoza kwa kuiba, sasa...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Baba; hivi juma mwanangu,pindi ninapokupa kichapo kikali hasira zako unamalizia wapi? Juma; huwa nachukua mswaki wako nasugulia chooni!! Ungekua baba ndo wewe ungefanya nini?
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Jamani kuna best yangu hapa mtaani alitokea kumpenda sana mwanamke wa kichina mwishowe wakaoana. Tatizo likaja yule mchina alikua mkorofi sana kila siku jamaa alikua anapigwa sana ma kungfu...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Ujumbe maridhawa
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…