JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Kada ya Ualimu-wavae mashati yenye vifungo mabegani vion meupe yaonyeshe madaraja yao kama vile grade A,AEO iii,EOii,EOi,PEOi,PEOii etc. Chini wavaa rangi blue iliyokolea. Wahasibu wote wavae...
1 Reactions
30 Replies
5K Views
Wash'kaji eeeeeeeh! Huku kitaani kwetu pande za pugu_kajiungeni kuna mtoto ni pini matata sana, kwa mwonekano, na kitabia pia (kwa mujibu wa majirani & wengine wanaomfaham'). _ Ni mweupeeeeeeee...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Habari za jioni Wakuu. Hebu tujaribu ku-assume kama kungekuwa na tuzo kwa JF members kila mwisho wa mwaka husika ni akina nani wangebeba tuzo kwenye Category zifuatazo? Pia unaweza ukaongeza...
0 Reactions
0 Replies
669 Views
Pamoja na kuwa ni mpambanaji Ila Mimi ni mvivu. Ni mvivu kushusha net, hii kazi ya kushusha net naiona ngumu sana. Kuhesabu hela, pia hapa Mimi ni mvivu. Naweza nikalipwa mzigo wa hela nikaubeba...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Viumbe vingine vyenye uwezekano mkubwa wa kupotea duniani ni wanawake weusi. Hawa sijui watakuwa wanauawa na jangili gani?
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Wendewazimu baada ya kutibiwa kwa mdarefu madaktari wakafanyia majaribio kama wamepona hivyo wakafungiwa katika chumba kisichokuwa na mlango. Kisha ukachorwa mfano wa mlango ukutani na kuamriwa...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Ushauri wenu unahitajika wadau, Nilikuwa na kiti maalum mkoa tofauti na ninawasi, tulikuwa tumepeana nafasi na ni miaka kama nane tuko Pamoja ila juzi juzi wife aliiangalia cm yangu na kuamua...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Wakuu utafiti nilioufanya kwa takribani mwaka moja ni kwamba 80% ya wanawake wanaovaa suruali wana miguu membamba kama fito au toothpick. TIRIRIKENI HAPA.
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Wadau nataka kwenda arusha kwenye tarehe 20.dec 2015 hali usafiri ikoje kwa waliosafiri wiki hii kuna shida ya usafiri au hali bado haijachanganya nauli imefikia sh ngapi?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Namtafuta clasment wangu anaitwa Wilyalfa Wilyfest. Tumemaliza wote stnd 7 pale mwereni primary. Pia hata wengine tuliokuwa pamoja mnakaribishwa. Bila kuwasahau Robati kamili, kinanasi mdevi...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
... Jamani jamaniii.... Mke na Mume na watoto wao wawili walilala kitanda kimoja.... mmoja wa miaka 2 na mwingine wa kiume miaka 4..... ...Mapenzi yakaanza usiku.... ...mara wakamuangusha...
5 Reactions
31 Replies
17K Views
kuna kitu kimooja ambacho mwenye kujua atujuze hata ikiwezekana kwa picha,mm sina kumbukumbu kma nilishawahi kumuona mtu mweupe[MZUNGU] kama kasuka rasta au kusuka kikawaida,hebu mwenye kapicha...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wasalaam wana MMU! Ninayaandika haya nikiwa ni mwenye furaha iliyopitiliza.Furaha Ambayo imenifanya nije hapa kuja kuwashukuru wana mmu walioamua kuacha kazi zao na kuja kuungana na mimi...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Jamani anayejua maana ya neno BODABODA atujuze
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Wakuu najuta tena najuta mie kununua gari ni sawa na kuoa mke wa pili, Kwa kifupi hili gari ni sawa na mke wa pili kwani linanipelekesha na kutaka kunitoa roho kabisa, lina gharama kama mke wa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Msichana akitaka PERUVIAN HAIR mpya wala hahangaiki sana...Anaingia kwenye PHONEBOOK yake anachagua Madanga yake 20 anayoyaamini kwamba hayawezi kumuangusha...AnaCOMPOSE Meseji Tamuuu ambayo kila...
1 Reactions
20 Replies
3K Views
Wakuu! habarini za mida hii? Kwa moyo wa ukunjufu kabisa.. Naombeni tuwe na umoja na upendo tena uzidi ule wa mwanzo.. Tofauti zetu tuzitupe kule.. Tuliowakwaza kwa njia yoyote ile twaombeni...
20 Reactions
537 Replies
23K Views
Wakuu habarini jamani, Baada ya kujipanga mwaka mzima , nikaamua kutumia kajibonasi kangu kufanya ziara mlimani city. Huwa napitaga tu nikitoka Mwenge kwenda Ubungo. Sijawahi kuingia. Basi bwana...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
👉ukisikia mpenz wako anakuita baby ujue kuna mkubwa wako"!!! 👉Sio kila anayekwambia I love anakupenda wengine wanajifunza kingereza. 👉Mke Mwema Anatoka Kwa MUNGU,mume...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Baba anamuuliza mtoto wake wa kiume: Baba: Ukiwa mkubwa utapenda ufanye kazi gani? Mtoto: Mimi napenda sana Udaktari!!. Baba: Kwanini? Mtoto: Kwa sababu ndio kazi pekee unayoweza kumuamuru mke wa...
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Back
Top Bottom