Mzee mbuya wakilema baada ya.kuona wanawe wote wako.nje awaji.xmass kamwe akanyanyua.simu akapiga kwa mwanae joy wa s.africa
joy kuanzia kesho nimeamua kuachana.na.mama yenu kabisaa..pemben...
If you married an English figure lady and you desired that she had big behinds. One day as you were praying for her behinds to grow, you heard the voice telling you, in order for her behinds to...
ooh..!Ghafla mipango sina nimerudi kitaanee, Nimeshindwa kuongoza timu nimesepa Chelsea, umeneja umebaki jina hanitaki Romanee, Hazard goli hakuna Costa ndo hataree,. oh na mashabiki zangu...
Tunaelewa kuwa kijana akitaka kuoa lazima apeleke mahari aliyopangiwa upande wa msichana, suala la kupokea mahari PESA , ni sawa na kumuuza binti yako kwa mwanaume. Hapa mnabadilishana kibiashara...
Vya enzi vizuri wakuu...siku hizoo zilizopita michezo ya watoto ilikuwa ikiwavuta na kuwaweka watoto pamoja sana na ilidumisha umoja na mshikamano hata kwa wazazi.
Cha kushangaza watoto wale wa...
Aisee, yani kuna ambao nilikua nimewasahau kabisa,ila leo ghafla napokea text inasema:
''mambo baby wangu wa ukweli, najua bado una hasira na mie ila nilikua nataka ifike December ndio nikuombe...
UKIPENDA BOGA PENDA NA UA LAKE:
Alifika mwanaume akiwa anahema ametoka kazini kabla ya muda wa kawaida, akamwambia mke wake'," jiandae haraka tuna safiri kwenda Mbeya"
Mke...
Habari za wkend,
Jamani kuna huu wimbo unaitwa AFRO wa les Wanyika mwenzenu unanichanganya sana. Kila niusikiapo natamani ninyanuke nicheze.
Na nyie wenzangu nyimbo gani ya zamani inawagusa?
jamani tuambiane ukweli hapa, kwa wale walevi wa pombe hasa BIA tuambieni, ni nini hasa unakipata kutokana na kulewa bia je unaondoa mawazo, je inakuburudisha, au ndio kwanza inakuongezea ufukara...
Hakika siku hii ni kati ya siku muhimu sana kwangu na kwako mpenzi wangu uran. Ashukuriwe Mungu kwa neema yake kwako na abarikiwe mama aliekuleta duniani na kukukuza kwa malezi bora mpaka hapo...
Wanaume walio namachogo wana akili sana darasani na hata ktk maisha ya kila siku lakini ktk suala la mahaba nibure na wakati huo huo wanaume wasio na chogo huwa hawana akili za darasani na hata za...
Wakuu ni hoja ndogo hapa;
Eti kwanini pesa za sherehe kama, harusi, send off na kitchen party hazilipiwi kodi TRA? Wakati pesa zake zinachangiwa na watu/umma?
Ni pesa za umma hizo, why?
Jamani hivi utajisikiaje kukuta Mzazi wako yuko JF?
Kilichonikuta sitaki kusema kabisaaa.
Yani kuna mtu huwa namwonaga jukwaa fulani hivi kumbe daah ni Maza mkubwa yani.
Imenifanya nijiulize kama...