Jaribu kufikiria,mke/mme umekaa nae kama 10 yrs,siku moja mnagombana/kukorofishana tu hapo ndo mambo yote na siri zote zitatoka.mara mchawi,pesa zako za mapaka etc.
Mwingine anaishi mjini kwa...
Mgonjwa alipiga simu kwa daktari bingwa ili kufanya appointment na maongezi yakawa hivi.
Mgonjwa- 'daktari nahitaji kukuona naumwa'.
Daktari- 'hamna nafasi mpaka wiki ijayo'
Mgonjwa- 'naumwa...
A Prof stepped into a law class & threw an orange at one of his students and said "Give it as a gift to any of your friends now".
The boy said to one of his friends "Tee, I give this orange...
Mazee life la siku hizi nimeshaona kuna mijitu kazi yao ni kumendea wake za watu ili limmege tu basi litulie........na dada zetu sijui wana roho gani........wana roho nzuri sana hawa wa siku...
Mapenzi ya mali inachochea tamaa na kuharibu wema.
Usia unawafariji warithi
Mali ni chanzo cha hamaki.
Bora ya akiba ni pale ambapo kazi zinatawanywa vyema.
Fedha haimnufaishi mwenye...
Kusema kweli huwa hili jukwaa pa1 na lile la chitchat yanakuwa matamu wikend. Leo nina stress zangu za kawaida nikaona nizame huku baada ya kusinda kulee kwenye siasa, duh! Sijaamini macho yangu...
Matatizo Duniani hapa hayawezi kuisha kwa style hii!
Polisi njaa wanaomba uhalifu uongezeke ili wale Rushwa,
Wanasheria wanaomba kesi ziwe nyingi ili wavune pesa,
Madaktari nao wanataka wagonjwa...
Wapendwa, Mkiwa sehemu ya familia yangu, sehemu ya furaha yangu,....................karibuni mshereheke nami katika siku hii muhimu kwangu.
Ninawapenda.
Pamoja sana
Dah kama mwezi umepita sasa tangu nijaze fomu ya ku update information ya akaunti yangu ya CRDB, nikajua nimemaliza kumbe kha! Leo tena nimeletewa fomu nyingine ina madudu ya kujaza kibao kama...
Wezi wa mifugo waliiba Ng'ombe kwa Mmasai na kumbakishia Ndama mmoja tu! Kisha wakamfunga yule Mmasai kwenye mti usiku kuchaa, Asubuhi yake majirani wakamuona yule Mmasai na kumpa pole baada ya...
Tech Support: "I need you to right-click on the Desktop."
Customer: "Ok."
Tech Support: "Did you get a pop-up menu?"
Customer: "No."
Tech Support: "Ok. Right click again. Do you see a pop-up...
kuna jamaa dereva alikuwa anachuki na mahakimu kila siku ana drive nje ya mahakama ili akimuona hakimu amgonge, sa siku kampa lifti padri na kupita mahakamani mara hakimu huyu hapa, akataka...
Kuna mganga mmoja maarufu anajinadi kuwa yuko tayari kuondoa msumari wa uchawi aliopigwa waziri mkuu wa siku za kale ambaye kwa sasa yuko Ujerumani kwa matibabu.
Akiongea kwenye kliniki yake...
Mwehu alikuwa akitizama mechi live.mara shabiki mmoja akasema"goli la kwanza hiloo" ghafla likaingizwa kweli,shabiki mwengine nae akasema"lengine ilooo linaingia" mara likaingia kweli golini.mwehu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.