JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Haya wale wapenzi wenzangu wa mitikisiko na ladha za Pwani mpo...?
2 Reactions
4 Replies
1K Views
I think Kenyan men will not go to hell.Because you don‘t go to hell twice. Having your wife smacking your ass is at the least an abomination,and it subjects a man to a hell that is mental...
0 Reactions
28 Replies
2K Views
Three men went to hell The devil said to them"You have come to hell,and you must now choose whether to spend eternity in room 1,2 or 3" He then opened the doors to the three rooms. Room 1 was...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Sadru divorced his wife on their wedding night. REASON: He saw a label on her underwear written: "100% SOFT & TIGHT" tested by Khan & Brothers'. Approved by Singh & Sons'.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
wana jf ukifumaniwa na mume wamtu unawezwa kupelekwa mahakamani au ?
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Jambo JF Mimi bana naomba kwanza mniwie radhi. Najua ni maudhi kwenu ingawa pia kwa wengine inaweza kuwa baraka maana nimewaletea wenza wenu! Miaka ya ujana wangu nilikuwa si haba jamani. Kama ni...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
kwa muda mrefu tumekuwa tukiwasema dada zetu wa vyuo vikuu hasa UDSM kuhusiana kimapenzi na wanafunzi wenzao au mapedeshe wa mtaani.kuna kipindi tuliwahi kusikia wanafunzi hawa kujiuza kimwili...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
mm huwa ni mguu... maana nakimbia kazini...
0 Reactions
47 Replies
3K Views
Habib-al-masad fil-kubul-aajab laysa-it-maujud adbil-kul-wyjad. Mantal-fyka=sad HII ULIYOSOMA NI DUA YA KUONDOA NGUVU SEHEMU ZA SIRI HEBU ZICHEKI ZAKO ZIPO..??
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kulikuwa na kijana moja aliyeitwa Chaupele,aliitwa hivyo kutokana na kuwa na vipele miguuni,siku moja akiwa amekaa nzi wakaanza kumsumbua na kukalia kwe vidonda vyake miguuni,alichofanya siku moja...
8 Reactions
26 Replies
4K Views
kweli dunia inamambo,Mungu tusaidie na haya makanisa ya kiroho.
0 Reactions
9 Replies
1K Views
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Dah nakumbuka nilipokuwa mtoto hvi nilikuwa mtundu kimtindo,siku moja mbwa anakatiza mtaani,nikaanza kumfukuza,akisimama na mimi nasimama,akianza kutembea na mimi namfuata,mbwa alipoona...
1 Reactions
19 Replies
3K Views
Kuna Jamaa wawili walihudhuria kikao cha maandalizi ya Harusi na Mwenyekiti akawaomba kabla ya kuanza kikao Wajumbe wajitambulishe ili wafahamiane. Wajumbe wakaanza, Mimi naitwa Mwaisapile wa...
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Huku Ubungo kuna kabaa kanaitwa Mat*ko Bar. Sifa ya baa hii, kila bar maid lazima awe na makalio makubwa.. Hebu nipeni majina mengine na sifa zake
0 Reactions
39 Replies
5K Views
siku za baridi wa wanakula sana bata kama hotel yangu leo ipo full booked naomba hali mpaka kesho ibaki hivi hivi
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Nimekuja zangu kikazi katika mji huu jina kapuni. Baada ya kufika nikapokelewa na rafiki yangu. Tukiwa standi, nilimwambia anisaidie kutafuta hotel nzuri ya kulala na yeye akajibu nisiwe na shaka...
0 Reactions
70 Replies
5K Views
eti jamani kuna tofauti gani kati ya shambulio la ngono na kubaka??
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Back
Top Bottom