JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Mi naishi kwa sister toka nimalize degree. Kazi yangu bado sijaipata naisubiria. Nitapata tu. Ila bado nahitaji kuendelea na mchakato wa papuchi. Siwezi sema eti nisubiri nikipata pesa. Basi...
10 Reactions
28 Replies
2K Views
jamani kuna uzi wa jamaa kule anaelezea alikuwa anaumwa jino. Nimeona na mimi nielezee jinsi sikio la kulia lilivyochakaza! Yaani sikio,jino,macho sio vitu vya kuchezea kabisaaa.. Mimi nilikaaa...
13 Reactions
86 Replies
13K Views
☝🏾Sikiliza mtangazaji alichokuwa anasema kuhusu hiyo convoy hapo juu dhidi ya viongozi wetu kutoka Afrika wamepakiwa kwenye mabasi huku Biden kaenda na ndinga zake. 👇🏾Na hapa chini Kuna mdau...
15 Reactions
93 Replies
9K Views
Baada ya kujaribu mara kadhaa ili niamke na kushindikana nikaona isiwe tabu, wacha nitulie tu labda nitaamka mwemyewe tu, lakini ikawa inashindikana. Baada ya kuwaza kidogo, nikaona nijaribu...
0 Reactions
2 Replies
406 Views
Kwa maisha na mifumo ya kimaisha ya Afrika kupigika ni jambo la kawaida sana. Hivi umewahi kujiuliza hawa Wazungu wanaotalii Tanzania na kuzunguka dunia kazi wabafanya saa ngapi? Turudi kwenye...
3 Reactions
14 Replies
908 Views
Hebu tupeane uzoefu hapa kwenye hizi beer, Maana lugha zimekuwa nyingi sana kitaa, Mara hizi hazina wanga sana, zile hupati kisukar mara hata ukiwa na kisukari unakunywa, nyingine sinaleta...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Zamani nilikuwa nashangaa sana mtu anafikishaje miaka 30 hana nyumba wala gari?! Aisee naombeni mnisamehe[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
8 Reactions
7 Replies
546 Views
Guys, September naingia miaka 30 kwa hiyo nipo kwenye kumalizia my 20s [emoji4] Nikifikiria nakua Excited and Nervous at the same time, What does it feel like to be in 30s? will my skin change...
13 Reactions
122 Replies
6K Views
Habari wakuu! Moja kwa moja kwenye mada husika. Nilikua sehemu huko kijijini napiga kazi, ila baada ya muda kama wa mwaka nikahamia town. Kule bush nikawa nimezoeana na jamaa flan nae ni...
7 Reactions
31 Replies
2K Views
Kama wewe ni kijana na umemaliza chuo, nakushauri kaaa nyumbani usitoke mpaka utakapoona unaweza kujimudu. Usijaribu kujimwambafai ukaona umeshakua unataka kuanza maisha yakujitegemea. Kaa...
1 Reactions
5 Replies
588 Views
Ngoja nisome comments... Au na huu mtaupuuzia?
4 Reactions
26 Replies
1K Views
Leo nilivokua msibani kwa bibi wa Wingerezani nimemuona binadamu asie wa kawaida nikajaribu kumpiga pic lakini kama akahisi nitaweka pic zake kama 1 mtaona kwanza macho yake hayako kama binadamu...
8 Reactions
83 Replies
4K Views
Wanafunzi wanaoendelea na masomo vyuo vikuu vya Tanzania hujishughulisha na shughuli mbalimbali za kuwakaribisha wanafunzi wa mwaka wa kwanza, ikiwemo mizaha na vicheshi miongoni mwa wanafunzi...
20 Reactions
112 Replies
50K Views
Hello Guys! Kama unatokea familia ya kiganga au wewe ni Mchawi unaye loga, tunajua haya mambo niya siri, sawa lakini nakuomba utupe tu dondoo mnavyo fanyaga mpaka mka mfunga mtu asiweze pata...
11 Reactions
40 Replies
6K Views
Wakuu ambaye yupo on air right now humu jf ajaribu kuchunguza time inavyoenda atagundua leo time unasogea taratibu kuliko siku zote. Mim nimeanza kugundua mida ya saa saba kamili.
4 Reactions
12 Replies
528 Views
BASI LEO NIWA FURAHISHE WAKAGUZI WA FACEBOOK MAANA NIMECHOKA NA TABIA YAO YA KUNYAMAZISHA POST ZANGU😀😀. Mimi na mpenzi wangu tulikuwa tuna wasiliana kwa video call kwenye whatsapp jana...
1 Reactions
1 Replies
568 Views
Hii tabia binafsi imenishinda kabisa hata kama niwe na shida gani. Labda nikope Lakini utakuta mwingine hana aibu, popote pale hata mtu ambae hamjui " mwanangu una elfu tatu karibu hapo..."...
5 Reactions
11 Replies
517 Views
Labda Mimi BabaMorgan I'm too young to understand kumbe inawezekana mtu kutoka jijini Dar es salaam na kwenda Mwanza kutafuta mganga alafu huku mjini ameaga kuwa kaenda Mwanza kikazi.
2 Reactions
23 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…