Plitokea mkutano wa madaktari bingwa kutoka nchi 3, China, Ujerumani na Tanzania. Wakawa wanajadili mafanikio yaliyofanywa katika nchi zao.
Mchina akaanza "kwetu alizaliwa mtoto hana mkono...
hivi wale wanaouza karanga za kupima za kwenye vikapu ambao huwa wanaweza hata kukuonjesha wakiwa wanaingia toilet kujisaidia pindi wakiwa mzigoni(barabarani) huwa wanamuachia nani bidhaa zao au...
A man was looking at a painting
for a long time of a naked
woman with leaves covering the
body, he was asked what he was
doing and he answered - waiting
for autumn.
Mtoto wa kiume katoka kwny mizunguko yake kufika home akakuta kikwazo fulan pale geto akamwambia mama yake "mama unajua huu ni usenge?" mama nae akamsupport ndio mwanangu huo ni usenge!! kwn...
Hivi kwa nini watu wanapenda wanapotembea kushikilia funguo za magari mikononi ilhali funguo za majumbani au ofisini mwao wanaziweka mfukoni au kwenye mikoba kama ni wanawake??
Jaamani mimi nikijana wakati lakini mimi ninao uwezo wakwenda na mazingira yote nikiamua au kuwa kijana wazamani au kuwa kijana wa sasa!!Ni maamuzi yangu na kuangalia ni kwa faida gani!!
Na anza...
Nimeamua kwenda Arusha wiki ijayo kama sehemu ya kujipongeza kwa ushindi. Yeyote mwenye taarifa ya sehemu nzuri zaidi za kujiachia tafadhali anisaidie kunijulisha. Nitasafiri kwa lifti ya...
One man enters in an ambulant and says to the doctor:
Help me, please. I have a knife in my back.
The doctor, looking his watch says:
Now is 2:20 PM, and I work till 2, so as you can imagine I've...
Kuna wakati hujikuta na wakati mgumu wa kuamua kwa haraka.
Dada salma alitembelewa na Baba mkwe wake.
Asubuh ameamka anakwenda kukoga kwenye choo cha nje anamkuta Baba mkwe wake,mumewe na mwanae...
Jamaa mmoja alipiga tungi akawa bwax akawa amelala akaota kuwa kawa mwanamke alafu ana jifungua akajitahidi kusukuma ilipo shituka kutoka kwenye ndoto akakuta bonge la mi mav
Wana jamvi nimeona niwaletee hii picha inayoonyesha mabadiliko mbalimbali katika fashion ya nguo za ndani za dada zetu!!! So far, wapo kwenye BIKINI stage....what next???
wanaJF ni ukweli usiopingika kuwa adada yeetu huyu alikuwa mfano wa kuigwa kama walivo wengine ktk hili jukwaa hasa kwa mada na uchangiaji wake, kwa muda sasa haonekani ktk hili jukwaa, mwenye...
Kulikuawa na panya watatu, walikuwa wakibishana kuhusu ujuzi wao na kila mmoja alijigamba kuwa yeye ni mjuzi zaidi yamwenzie,
Panya 1: mimi ni nouma, ninauwezo wakutegua mitego ya aina yeyote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.