Nawasalimuni ninyi nyote,
leo nina swali dogo tu, je hakuna ujinga wenye faida? je makosa yote tunayofanya hayana faida yoyote? hebu tupatie ujinga wenye faida ili tuweze kujifunza.
Toka nimalize chuo hali yangu kifedha inazidi kushuka kila siku, na naona itafikia pahari sitoweza ingia jf kabisaaaaa, so natoa contancts S. L. P 2242. Tuwasiliane.
WanaJF naomba mniunge mkono Invisible apigwa Ban kwa mienzi miwili
Kosa: Kuleta taarifa bila ya kuzibitisha ( shimbo na wiza wa 3 Trilion)
Muda: 2 Months
Hii itakuwa fundisho kwa kila mtu...
Toka umejiunga na JF miezi kadhaa iliyopita umekuwa ni kati ya wanaJF ambao wamekuwa mvuto wa aina yake hapa jamvini kutokana na maoni, ushauri, ama michango yako ktk topics mbalimbali. Umekuwa...
Jamani wacheni nimwite mungu na abaki kuwa mungu ..tar 2 august ndio siku yangu ya kwanza kumuona kisura wangu aliekuja kuwa mtarajiwa wangu na sasa ni mamadidy aka mamafaith,,tar 3 mamaaa didy...
Leo katika zunguka yangu ile nimetoka mitaa ya maskani nikaamua kukamata basi chap chap kwani nilikuwa siendi mbali.. basi lilikuwa halina watu wengi nikakaa fresh kwenye kiti kilichokuwa karibu...
Kilema na kipofu walikuwa safarini ikatokea gari likawa chafua kwa maji machafu yule kilema akamwambia tulikimbize gari kipofu akamwambia tulliza munkari nilisha save number usipime ni full mavicheko
Kuna mchungaji alikuwa akihubiri kanisani akisema Mtu atakayetenda mema siku ya kwenda mbinguni atakwenda kwa ndege. Sasa ikafika siku ya kwenda mbinguni, jamaa mmoja akafanikiwa kwenda kwa ndege...
Leo ni siku ya kuzaliwa ya Eng Stella Manyanya kama nilivyomsikia yeye mwenyewe katika mahojiano kwenye kipindi cha mahojiano kabla ya bunge leo asubuhi tbc taifa.
Happy birthday Mh. Eng. Stella...
Try your name in JAPANESE.. Its funny.....
A- ka,
B- tu,
C- mi,
D- te,
E- ku,
F- lu,
G- ji,
H- ri,
I- ki,
J- zu,
K- me,
L- ta,
M- rin,
N- to,
O- mo,
P- no,
Q- ke,
R- shi...
kwakua ndugu zetu waislam..ni wakarimu na waungwana na wako kwenye kipindi cha mfungo wa Ramadhani
natagemea basi..Dada FAIZA FOXY kumkaribishana FUTARI na DAKU Rev Masanilo....MUADHIRI...
Mangi mmoja muuza vyepe alitoa mpya ya mwaka baada kutaka kudanja kwa kuendekeza pesa na msos anao, unajua ilikuaje... IKO HIV.......
Mangi kijiweni kwake anauza vyepe mara njaa ikaanza kumuuma...
She came and conquered JF with her no holds barred kitsch ..............................she was raunchy yet hilarious performing artist..............................but after being faced with a...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.