JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Wanadamu tunatofautiana fikra, vipaumbele nk, Hii ni kutokana na jamii iliyotuzunguka, changamoto tulizopitia, dini nk Kuna jambo kwako linaweza lisiwe na umuhimu wowote na ukashindwa kuelewa...
3 Reactions
7 Replies
598 Views
Samahani wanaJF mimi nataka kujua kama kuna haja yoyote ya kuzindika gari ukilinunua? Na je unaweza kuwa unapata ajali mara kwa mara kama hujafanya hvyoo kwenye gari lako? Maana nasikiaga watu...
2 Reactions
38 Replies
3K Views
Watu WA arusha mnakula bata wapi jamani au mnataka nirudi na perdiem yangu dar? Nina siku ya 4 hapa usiku nafanya kazi ya kuhama viwanja Tu Ila sijaona sehem yenye vibe,sehemu yenye wadangaji...
8 Reactions
100 Replies
18K Views
Niaje! Hivi ushawahi jitia kuukomoa msosi wa kwenye sherehe wewe? Haswa kama umeishi uswazi.. Mie miaka hiyooo kwenye sherehe ya jumuiya (wakatoliki tunaelewana) nilifakamia madikodiko hatar vile...
8 Reactions
50 Replies
4K Views
Habari jamani, nimemiss Vituko vya huyu ndugu hhaaaaaa, pdidy popote ulipo njoo utusalimie. Mchanamwemakwenunyote
0 Reactions
27 Replies
2K Views
Ilikuwa form V, baada ya orientation, tunes za kujuana. Wengi tulishapewa majina ya rafiki wa rafiki ambae anakuja shule ile. Dining siku ya kwanza mdada mmoja alimwaga magarage kisa alimkuta...
45 Reactions
390 Replies
42K Views
Mwezi December 2021 nilileta hii mada hapa kwamba natarajia kua baba, na kweli ndani ya mwezi January 2022 nikapata nafasi ya kua baba Kweli...
20 Reactions
34 Replies
3K Views
Nimeenda kumtembelea lafiki yangu nimekuta ana kunywa uji hii imenishangaza sana najua uji ni kwa ajili ya wanawake na watoto wanaume ni chai na kahawa hii dunia ina enda kasi sana.
8 Reactions
98 Replies
6K Views
Asante Sana kaka Kwa kumtumia mke wangu nauli. Na mimi nimekatamo ka Hela ka pombe .
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Wanapiga mvinyo Kwa kwenda mbele. # Putin mbele Kwa mbele
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake, Jamaa alikuwa anagombana na mkewe,hatimae akamwambia kwa ukali "Unajua nimechoka sasa, haya kusanya nguo zako na…….. Kabla...
9 Reactions
9 Replies
2K Views
Kila siku huwa nawaza sana hili suala! Nalala nahisi maisha yamesimama mpaka pale ntakapoamka kumbe wapi😅😅 Nimejikuta ndotoni nina mwanamke nisiemjua, nimeshiriki nae mapenzi nikamaliza na...
4 Reactions
26 Replies
2K Views
habari mabwashee.. elezo kichwa cha habari. kama katika matukio ya ujambazi nilishuhudia ni haya.. ilikuwa mwaka 2003 mwanzoni hivi.nilikuwa ndani ya costa kutoka moshi kuelekea arusha.kufika...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
USIKATE TAMAA VS MLANGO MMOJA UKIFUNGWA MWENGINE HUFUNGUKA. Sio kila kitu uking'ang'anie jifunze kujua mda sahihi wa kuondoka na kuachilia kitu ambacho sio sahihi kwako. Point ni hivi, kama...
4 Reactions
11 Replies
1K Views
Kwa kawaida wanandoa,, au wapenzi wanatabia ya kuseviana majina kwa mitindo tofaut,, wengine kwa mitindo ya kimahaba mathalani Honey,, switie nk,, wengine wamesave Baba fulani au mama fulani...
5 Reactions
64 Replies
4K Views
Anayekutunzia siri zako ametupa na sisi pia tukutunzie, sisi ambao pia tuna watu tunaowaamini, tuliowapa pia wakutunzie ila wasikuambie. Mwanzo wa siri kutokuwa siri ni kumpa mtu akutunzie. Sio...
2 Reactions
7 Replies
584 Views
Leo ni siku ya 3 tangu nipumzike kutumia mtandao wa facebook ( nimediactivate my accont) nimeanza kuhisi kama naumwa, kweli hii mitandao ipo addictive ngoja nione nita-sustain kwa muda gani, sasa...
5 Reactions
45 Replies
2K Views
Kuwa muwazi, mara ya mwisho kubaili mswaki ilikuwa lini, ilikuwa ni muda gani umepita kabla ya kununua mswaki mwengine. Binafsi mimi kama mimi kwa asili yangu nilikuwa natumia mswaki hata miezi...
1 Reactions
10 Replies
693 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…