JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Nelson Mwombeki Mega Mind Nyerere jonoma witnessj bigboi steve111 Mchizi kibenten erickmandari king kan Mazikujohn Innercore The Icebreaker rikiboy mumu yohana avith Podcast alben lukinga01...
0 Reactions
10 Replies
757 Views
Moja kwa moja kwenye mada Wakuu mimi kwa sasa niko singular so huwa nawaza kutafuta mamiloo wa kunipa kampani ila naghairi kwa kuanza kuwaza kuwa "acha nitafute kwanza hela" Mawazo hayo ni kwa...
2 Reactions
16 Replies
688 Views
Mimi nakumbuka kuna siku nimeota nipo stend nasubiri basi ili niende mkoani..sasa nikasemaa ili nisiwasumbue waatu njàni nikaenda kukojoa kabisa ili nikikaa kwenye gari ni moja kwa moja. Duh...
1 Reactions
2 Replies
398 Views
Sema kweli mwaka huu 2021 sitarudia tena uzembe wa ku date na pisi za kawaida sana! Nataka challenge mpya nataka nichukue pisi Kali tu na ikiwezekana mmojawapo nivute ndani kabisa! Mtaji ama...
9 Reactions
18 Replies
929 Views
This a thread for making you storm and disturb your brain. Come storm your brain and make other storm it also . :) :) :) :) ^_^ :) :) :) :) WELCOM
1 Reactions
16 Replies
1K Views
UKWELI WA MAMBO........ I had a busy day leo mpaka basi ndo maana mnaona sikuapprove comments zenu. I was just sooooo busy...... Ila sasa hivi nimetulia nipo ndani ya ndege na...
0 Reactions
22 Replies
37K Views
Fanta alizaliwa katika familia duni mno. Baba yake alikua mlinzi, katika harakati za kuhakikisha hawakosi chakula nyumbani mama aliuza matunda mchana. Fanta alikua na uzuri wa ajabu alikua na...
10 Reactions
21 Replies
2K Views
Hela zinakufanyia nini sio unaweka hela chini ya mto, unalala njaa wakati hela ipo hata kununua sembe unga unashindwa.....huu usemi mzuri sana utumie katika biashara zako waambie wateja nawe utatoboa.
5 Reactions
9 Replies
823 Views
Heshima kwenu wadau. Nimekuja kukuonyesha na kukupa miongoni mwa nyimbo zilizotamba miaka hiyo. Miongoni kuna hadi nyimbo za kwanza za baadhi ya wasanii. Wengine hawatakuja kutoa wimbo mkali...
7 Reactions
37 Replies
14K Views
Happy new year guys nashukuru Mungu nimeona 2021 kwa neema na nimeingia 2021 kwa kuanza na Mungu nimepokea mwaka mpya nikiwa kanisan naposali "Reality of christ ministry Sinza Mori" But well...
3 Reactions
88 Replies
5K Views
WAKATI MWINGINE KAA KIMYA: 1. Kaa kimya unapokuwa na hasira. 2. Kaa kimya unapokua huna uhakika wa unachokitetea. 3. Kaa kimya unapokuwa hujathibitisha ukweli wa unachotaka kukisema. 4. Kaa kimya...
2 Reactions
3 Replies
740 Views
Mda mchache nimetoka kutuma M-pesa kwa mdada amabye tumejuana jana tu kwa Instagram, sasa nimemtumia kiasi cha pesa Tsh10k. Tangu asbh ya saa 10am sasa nashangaa kila baada ya saa 1hr yeye...
3 Reactions
45 Replies
3K Views
Yaan wazee wa nyeupe kanikamata halaf anakuja huku anaongea na sim kabisa, eti usiweke tomato na asikauke, yaani kwahiyo anakamata gari huku ana uhakika wa hela yangu nayompa ndo aagizie msosi...
9 Reactions
24 Replies
2K Views
Nisingependa kusema mengi picha zinazungumza kila kitu kazi Ni kwako kujiongeza
1 Reactions
1 Replies
711 Views
Me: hey She: ....... Me: samahani kwa kukusumbua ilhali nafahamu kabisa unakimbizana na pilika za hapa na pale, kwa jinsi mazingira yalivyokuwa kwenye gari nilifikili kuwa isingekuwa busara...
3 Reactions
83 Replies
6K Views
Wakuu weekend hii imekuwa bomba sana hasa Tanzania kutembelewa na moja wa warembo wakali sana duniani namzungumzia Demirose, mrembo na model kutoka United Kingdom. Tangu muda huyu mrembo alisema...
9 Reactions
103 Replies
9K Views
Ni Land cruiser yenye vioo tinted imesimama nje ya geti toka saa nne usiku na imeondoka alfajiri ya saa kumi Namba zake ni t 456 ... Iliwekwa kiubavu. Dirisha lilifungulikwa kidogo.
0 Reactions
27 Replies
2K Views
Nasema ipo siku moja tu, Na imeisha hiyo ikienda imeenda ikirudi pancha Niwatakie jumapili njema🤦🤪🏃
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Hii ni orodha ya series zangu bora za muda wote nilizowahi kuona..I assure you ukiziangalia hutajuta. 1. Prison Break Akili kubwa imetumika kutengeneza series hii Wentworth Miller katumia vizuri...
12 Reactions
270 Replies
23K Views
Tawireeeeeeee......... Hebu jamani kabla hatujaenda kutambika tujiulize Mizimu ni nani haswa? Mizimu Ni watenda dhambi wa zamani. Walikuwa wafiraji, wachawi, wauaji, waongo, wagomvi, wazinzi...
3 Reactions
34 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…