JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Tunga sentensi kwa ex wako ukianza na neno "alidhani"
1 Reactions
32 Replies
3K Views
Merry Christmas and happy new year Katika maisha kama binadamu tunapitia mengi na changamoto nyingi sana kwangu mimi nimewai pigwa fixi na bint niliyekuwa na mahusiano nae kuwa amebeba ujauzito...
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Msemo wa "ameingia cha kike" itakua unawahusu Sana wanaume kuingia cha "kike" kuliko wanawake kuingia cha kike. Utafiti nilifanya, nimegundua, huko wanakoingia ni CHOONI. Sasa sijajua iwapo...
2 Reactions
14 Replies
4K Views
*Wanawake wafupi wenye matege wakivaa suruali nyekundu utasema plaiz[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]*
3 Reactions
12 Replies
2K Views
Ukipewa adhabu jeshini unalazimishwa kuimba huu winbo. Hivi hauna vifungu vinavyoendelea ina maana ni ni huo tuu! Naomba mwenye winbo wote aniwekee hapa nautafuta sana
4 Reactions
14 Replies
4K Views
Cruti ni mdudu." Hana haki kbhxa Wala hakili timamu hana , ndio kauli iliyotawala kipind niko kamb flani Ivi JKT " daah maisha yalikuwa ni magumu sana.."[emoji19] Wiki 6 sijui nini maana ya...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Mke wa kipofu anatembea na kiziwi kwa siri lakini anaejua siri hii ni bubu. Je bubu atatumia njia gani kumwambia kipofu kua mkewe anatembea na kiziwi?
3 Reactions
26 Replies
8K Views
******************************* NAKUA(BABA) karudi kazini mwanae mdogo akamuwahi, DOGO: Baba usiingie ndani kina jini chumbani kwenu NAKUA: Hakuna kitu kama hicho DOGO: Kweli baba kuna jini liko...
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Huu uzi ni maalum kwa ajili ya kufanya uchaguzi wa chama hiki kikongwe hapa nchini. Lengo la kufanya hivi ni baada ya kuona mpasuko wa kichama baada ya kuwa na watu wawili wanaojitangaza kuwa wao...
8 Reactions
80 Replies
8K Views
Kuachana na kusherekea sikukuu hizi kwa kupata burudani mwanana Pia tuna ndugu zetu wa kidigital hutufurahisha sisi tuliokosa location Nabandika vimbwanga vyangu nilivyoshuhudia hapa duniani...
2 Reactions
20 Replies
4K Views
Tangu huu mwaka uanze nadhani hakuna siku niliyocheka kama leo aisee. Sijui ni kweli au uongo, lakini hawa jamaa wana mashudu kichwani. Hivi kweli unampaje nyani bunduki ya AK-47 ambayo iko loaded...
3 Reactions
15 Replies
1K Views
Eti je, unamkumbuka mwalimu wako wa darasa kuanzia la kwanza mpaka ulipo maliza shule? Je,unakumbuka wimbo wa shule ya msingi uliposomea? Je, ni tukio gani huji kulisahau kamwe katika maisha yako...
0 Reactions
6 Replies
849 Views
mimi wacha nilale tukutane 2021.wewe je?
0 Reactions
2 Replies
288 Views
Salaam kwenu nyote wana JF.. Natumaini mpo bukhery wa afya na poleni na mishughuliko hasa katika kipindi hiki cha pilika pilika za mwisho wa mwaka. Najua kila mmoja Kwa namna yake amepitia...
0 Reactions
0 Replies
772 Views
Wakuu, Maisha yamekuwa magumu sana, sio kwa wazee sio kwa vijana ni kila sehemu mambo yamebana Zifuatazo ni dalili zinazoashiria kuwa umeanza kupigika kimaisha 1. Ukiingia chooni unajisahau...
29 Reactions
79 Replies
7K Views
Ni kitu gani katika maisha yako uliwahi kukifurahia kabla lakini ukaja kukuta sivyo kabisa na matarajio kiasi cha kukukata stimu kabisa. Mfano mimi kipindi tunasoma boarding nakumbuka ilikuwa...
28 Reactions
121 Replies
6K Views
Ushawahi kujiuliza hata siku moja kwanini hivi vitu vinatokea? Nahisi vingine vishawahi kukutokea na vinaendelea kukutokea, unahisi ni nini, lazima kutakuwa kuna power fulani inaexist kwenye...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Kwangu mimi sikukuu itakua nzuri kwangu kwani kwa sisi wakristu tutaenda kwenye ibada kanisani na kwa ndugu zetu Waislam pia ni siku yao ya ibada.
3 Reactions
43 Replies
3K Views
It's a beautiful Sunday and what better way to relax than with the company of some beautiful music. So with that in mind, dedicate nyimbo kwa mwanaJF yoyote unaemkubali, imburudishe Jumapili hii.
0 Reactions
278 Replies
12K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…