JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Hali iko vp kibiashara huko mliko. Tupeane changamoto.
0 Reactions
3 Replies
411 Views
Can you guess the Lyrics of Different Songs Then Let's Play A Game One Person writes the lyrics of any song then U have to guess the song... Unaweza bahatisha mashairi ya nyimbo. Tucheze huu...
0 Reactions
454 Replies
19K Views
Habari hii sio yangu, nimeikuta mahali nikaona tujikumbushe tuliyowahi kuyapitia miaka ileee. Inachekesha lakini inasaidia kutukumbusha kuwa wakati si milele... Kulikuwa na UHIMA(CASFETA),UKWATA...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Najaribu tu kuwaza, assume zile ups and down, happy moment ulizopitia na kila aina ya changamoto ulizo experience katika maisha yako yoote yageuke kuwa ndoto za usiku. Kwamba hayana uhalisia...
1 Reactions
7 Replies
504 Views
Kuna muda akili zetu hupatwa na wenge inakuwa Kama ufahamu umeyumba flani hivi,tunaweza sema ubongo umeyumba kwa muda!.. Ktk kumbukumbu nilishawahi mzingua father kwa wenge nililokuwa nalo...
11 Reactions
52 Replies
4K Views
Kama utakesha usiku huu wa leo tuambie unakeshea wapi usiku huu, tukianza na mimi usiku huu wa saa 4:18 nipo chimbo linaitwa tughimbe night club kama kuna mtu hili jina sio geni kwake anyooshe...
0 Reactions
2 Replies
771 Views
Wakuu weeks kadhaa zilizopita nilileta uzi hapa jukwaani kuuliza walipo vipoozeo vyetu aka chakula cha kichwa kidogo huku Dodoma Kwa kufuata ushauri uliotolewa humu na members kadhaa nikapitia...
8 Reactions
60 Replies
10K Views
Niliachana na ccm mwaka 1984 kwenye ile vita ya uhujumu uchumi iliyotumiwa vibaya na watendaji wa ccm chini ya hayati waziri mkuu Edward Moringe Sokoine...!!!! Biashara za familia zilizikwa na ile...
25 Reactions
57 Replies
4K Views
Upo zako Ugenini Umetulizana Kwenye Sofa Unawaza mambo yako yanavyo kwenda Ndivyo Sivyo, Ghafla Unaskia Sauti Ikiongea kutoka Jikoni,, Mnamuamini Vp Kumuacha Pekeyake Sebleni...
3 Reactions
4 Replies
371 Views
Sijui ni mimi tu , au pia wenzangu mko hivyo yan kama tunachart ukishanitumia huo ujinga wa sticker zile za vibonzo au nyinginezo na zile vilugha sijui vya xaxa nakutema mazima yan kwa huo...
3 Reactions
29 Replies
3K Views
Kikundi cha mziki kilichopo milambo kinachoitwa PiTCHO GANG kimeachia Ngoma kuhusu milambo. Nyimbo inaitwa CHAMA LA WANAUME inapatikana YouTube.... Itafute upate burudani... Miongoni mwa...
0 Reactions
2 Replies
956 Views
.
1 Reactions
6 Replies
799 Views
Habari za mida hii je nyie ni wazima wote Nyumbani hapo, kuanzia baba, mama, kaka zako dada zako ndugu zako wifi zako waambie nawasalimia aaah nimesahau🤦 nyau wenu pia mwambie namsalimia😜 Okey...
7 Reactions
22 Replies
5K Views
Usafiri wa dalaldala ndio usafiri mkubwa na unaotumika na kundi kubwa la raia katika nchi yetu ya uchumi wa kati na hivyo huwakutanisha watu wa aina mbalimbali pamoja kwa muda fulani iwe ni...
5 Reactions
42 Replies
4K Views
Hii kitu imenishangaza sana leo nina miaka miwili mahali ninapoishi. Mara nyingi ninapotoka kwenda kwenye mihangaiko yangu napenda kuvaa kiofisi kila siku. Ajabu leo wakati natoka nyumbani kuna...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Amani iwe nanyi. Huwa najiuliza sana ivi Gwajima anamchukuliaje Harmonize .? Kuna ule mstari ktk nyimbo ya harmonize UNO kuna kipande kinasema "NDO LILE GWAJIMA ALILOMPATIA KONDOO" Unooo ooh...
4 Reactions
5 Replies
845 Views
Binafsi sijawahi fanya tukio lolote ambalo lingenifanya nijione shujaa. Tuelezee ulifanya jambo gani ambalo lilikufanya ujione shujaa.
1 Reactions
20 Replies
1K Views
Habari zenu wana JF Juzi tar 26 nilileta Uzi hapa jamvini wa kumtafuna jimama wa kizungu Na leo tarehe 28 amenitafuta tena anataka leo saa 11 jion niende kwake nikampe kampani kisa anafeel...
7 Reactions
129 Replies
11K Views
Habari zenu Ipo hivi, hapa job kwetu kuna wageni wawili wanaume wa kizungu. toka germany. so wameniomba this weekend niwapeleke night club nzuri wakaparty. nkasema poa. Lakini kiukweli sio mjuzi...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Niadje wadau, hivi utajiskiaje au utafanyaje endapo ukikutana na situation kama hizi. Umemtumia mtu hela afu anakujibu "enx" Umemkaribisha rafiki akho kwene kaghetto kwako afu unaenda kuoga ile...
2 Reactions
36 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…