“I am Henry Ford, whatever I don’t wear”
Once, when he was already a billionaire, Henry Ford came to England on business. At the airport information desk, he asked about the cheapest hotel in...
thread hii inakuja kwako Kwa udhamini mkubwa kabisa wa samsung s8+!
Comrade, mtaani wanapenda kuniita mzee wa black and white!
eebanaeE! sijisifii, lakini kwa upande wa kutundika mavazi mwilini...
Utafiti nilioufanya kuhusu kuongea lugha ya kingereza kwa ufasaha nikagundua wanaongea vizuri ni:
Walevi tuu na wanawake tuu ule mda wanasex..
Huu utafiti unaendelea...
Tuache utani yule askar magereza no1 asingekua na walinzi wa kutosha angempga kwa maoni yang anafaa kua mkuu wa majeshi CDF maana nidhamu ya uoga kwake mwiko AMENIINUA.
Mambo ni moto, MAPENZI ni kitu hatari sana, penda akupendae, usiombe kuachwa/kusalitiwa na mpenzi umpendae utajuta,
Naomba majibu toka kwenu wanaJF ni njia zipi wawezazitumia ukikutwa na hali...
Habari za asubuhi Wadau?
Leo Nimeona Tujadili Kuhusu Avatar,Ukiacha Avatar Yako mwenyewe uliyoiweka ni Avatar ipi nyingine unaipenda,Na sababu gani Kama kuna sababu,manake Avatar nyingine unaweza...
Nawaza tu. Katika hali ya kawaida,iwe kwa ajali au vinginevyo. Nitawezaje kuishi bila uume. Kwa wale wasiojua uume ni sehemu za siri za nwanaume katikati ya mapaja zimefungamana na korodani.
Uume...
Jaribu kufikiria kama ungekuwa unaishi milele, je, usingeomba poo wewe mwenyewe na kuomba kupumzishwa after lets say 1000yrs of life, tuwe tu wakweli...
Nliwahi kuskia kuwa kuna kitengo maalum huko vituoni, panaitwa Gereji [emoji16][emoji16], naskia huko ukiingizwa wanatia mashuti ya hatari ni lazima useme ukweli tu. yule jamaa wa magunia ya mkaa...
[emoji848]Enzi za Jakaya Mrisho Kikwete weekend kama hii.
Muda kama huu unakuta upo zako nyumbani. Ghafla jamaa anakupigia simu. [emoji848]
"Kaka upo wapi? njoo Maisha club, beib yangu imekuja...
Mzuqa!
Tuendelee tu kumshukuru Mungu na kujivunia kuzaliwa mwafrika. Ni jambo jema na la kujivunia. Laiti tungezaliwa kama wao ama kukulia toka utotoni kwenye Jamii yao tungebaki kuwa mazoba...
Habari za siku wakuu.
Nipo na huyu binti hapa geto kwangu ni mwezi wa 2 sasa tangu nihamie hapa ila huyu bibie anadai ameyachoka haya maisha hapa geto
Je nifanyaje wakuu ili huyu mrembo wangu...
Umeenda semina Njombe, una ndugu yako kule. Unamtaarifu unakuja kumtembelea. Anakuambia karibu sana. Anakuelekeza panda daladala za Ramadhani shukia kwa Sanga. Unashuka stendi unamkuta ndugu yako...
Ebwana jana Alhamisi mida ya saa7 mchana nilikatiza maendeo ya Tandale nikiwa naelekea Sinza ebwana nilikutana na lundo la watu wasiopungua 30 wakiwa katikati ya barabara wakidai eti wamefiwa...
Habarini wanazengo
Kama kichwa cha habari kinavyojielezea niko njia pandaaah!!
Nimefanikiwa kumaliza diploma in procurement and supply management nimejaribu kutafuta kazi sijapata mpaka sasa...