JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
😩😩wazee hiyo ni itel 1408 nimeiflash lakin saiv haisomi laini msaada kwa mwenye kujua labda akanipa link ya firmwere
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Tutoleane ushuhuda hapa wadau kutokana na mazingira yanayotuzunguka maana nimeshuhudia watu wengi wakilalamika muda mrefu kuhusu mambo hayo,Huyu"Anatafuta wembamba muda mrefu haupati huyu...
1 Reactions
19 Replies
3K Views
I happened when pastor brought in a DNA machine in the church. No woman was left behind even the pastor’s wife.
1 Reactions
2 Replies
426 Views
Wakuu embu tukae kikao wanaume wa mikoani tuangalie ni jinsi gani ya kuwasaidia wanaume wa Dar, maana hali inazidi kuwa mbaya kila kukicha. Ziku zinavyozidi kusonga nao wanazidi kuharibika. Karibuni
1 Reactions
6 Replies
730 Views
Wasalaam wakuu, Hatimaye nimerudi tena baada ya kimya cha mwezi mzima. Natumai mnaendelea vyema na shughuli zenu hapa jamvini na hata za nje ya jukwaa. Katika mwezi huo mmoja niliokaa kimya...
106 Reactions
711 Replies
34K Views
Hello forums Leo nimeamua kutoa shiling elfu 20 kwa watu wa tano kama shukurani kwa Mwenyezi Mungu kwa kunifanyia wepesi na kuniraisishia njia ya kutimiza malengo yangu mwaka huu,malengo ambayo...
3 Reactions
95 Replies
6K Views
Binafsi napendezwa na kuvutiwa na hii Couple ya THE BOLD na NIFAH hapa jamii forum mpaka nashawishika kuwajibu na kisha kuwaenzi hawa maicon wetu kwa mapenzi motomoto na mubashara wanayotuonesha...
5 Reactions
41 Replies
3K Views
Hivi wale mliokuwa mnakaa chooni shuleni muda wa vipindi mnafanya kazi sasa hivi? Hivi Vipi wale chairperson wa debates mashuleni sasa hivi hapo Shirika la utangazaji la BBC na CNN midahalo...
18 Reactions
202 Replies
30K Views
Kwa uchunguzi wangu wa haraka haraka, nimegundua kuwa avatar nyingi za wana JF na mawazo yao zinaendana kabisa, na inavyoonekana kuanzia mtu anachagua avatar yake anakuwa anacommunicate na inner...
2 Reactions
161 Replies
10K Views
Nilipokua na miaka 6 Dada yangu alikua na nusu ya miaka yangu, sasa Nina miaka 70 Dada angu atakua na umri gani???
3 Reactions
29 Replies
10K Views
5 Reactions
10 Replies
1K Views
Si watoto tu hata watu wazima huulizana maswali ya kijinga. Hebu tuulizane. juzi kati nimepita sehemu nikakuta madingi wanaulizana. "Eti Malaika ni ndege?". wakuu hivi Malaika ni ndege?
3 Reactions
182 Replies
13K Views
Salamaaaaaaa
0 Reactions
6 Replies
1K Views
HII NDIO TASWIRA YA SIASA ZA TANZANIA, UNAAMBIWA KATIBA INAFUATWA, MARA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI UPO, MARA UHURU WA FARAGHA UPO, MARA OOH UHURU WA MAONI NA KUSIKILIZWA UPO. ILA JARIBU UONE...
4 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu habari zenu, Mimi ni kijana na nimepitia mengi katika maisha yangu ya kimahusiano. Nimekua na kila aina ya wanawake tangu nilipokua kapuku mpaka leo naweza kwenda 4ways na kulipia bill...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Daytime natimba kuibuka huku jamii nakutana vitu vya ukweng,e kuchimba indeep mavitu ya fyade mazee full happy Respect kwa masela zanguni wotee nawakubali kinyamaa
1 Reactions
57 Replies
3K Views
Aisee katika pita pita zangu naona watu wanajaribu kumfananisha Scofield na Professor sasa Najiuliza hawa wamevuta bhangi ya wapi??? Maana scofield kile kichwa Kingine yani series ya Prison break...
3 Reactions
33 Replies
4K Views
Back
Top Bottom