JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Hapo zamani za kale aliondokea Abunuwasi. Abunuwasi huyo aliishi katika mji mmoja wenye watu kidogo. Katika mji huo Abunuwasi alikuwa mtu maarufu sana kwa sababu alikuwa mcheshi, mchangamfu, na...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Nakumbuka miaka ya 2000 mwanzoni lilipata ajali gari lililobeba kontena la magodoro lilipata ajali kijijini kwetu,asalalee ....kama kuna mtu analalia ngozi pale kijijini atakuwa na laana! Bahati...
5 Reactions
78 Replies
7K Views
1. Usipokee simu ukiwa na mke wa mtu, unaweza kuwa unafuatiliwe ili usiuliwe fala wewe. 2. Usitumie gari yako inayofaamika, chukua taxi,uber,bajaj au bodaboda fala wewe. 3. Usiandikishe jina...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Dodoma chang'ombe ndo home,full Amani kwa fasi hii.love my street.karbni mtaan kwngu...
5 Reactions
179 Replies
15K Views
Najua wapo watakaoniona malaya, ila bora niseme liwalo na liwe. Sababu za mimi kufungua ID mpya ni kwamba nkitumia ID yangu ya zamani bwana wangu atajua kuhusu hili. Na sina uhakika kuhusu huyu...
6 Reactions
546 Replies
23K Views
Wadau, Naombeni msaada mwenzenu mpenzi wangu namuita honey ila yeye ananiita 'nyangema' ananipenda kweli.
5 Reactions
49 Replies
5K Views
Kisa wanyakyusa ubatiza kutokana na tukio, kisa leo ajali ya Lori, kuwa mtoto tumuite ATULIPUKILE MWAKATANKI wakati nataka aitwe Samia Mme kamsikiliza,
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Bila salamu direct to the point..Leo mida ya mchana nikiwa Town napiga misele nikiwa na chali'angu flani ivi,Mala ghafla kaja mzee wa ki'maasai yuko race kanikumbatia khaa.!!Tukashangaa uyu mzee...
1 Reactions
19 Replies
1K Views
Ni kwamba kuanzia sasa…. Nikiwa naongea na Mtu yoyote Kwanza namwambia azime Simu yake Nikiwa nazungumzia mambo ya Siasa na Mtu namwambia Kwanza azime Simu yake Nikiwa namtongoza Mke wa Mtu...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Let's share! Weka link ya uzi ama screenshot ya comment!
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Pongezi kwa waanzilishi wa kampeni ya usichukulie poa Nyumba ni choo. imekuwa kama mazoea watu kutoyapa kipaumbele mambo yenye umuhimu kwenye maisha ya kila siku na kuona ni vitu tu vya kawaida...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Vipi wakuu mko poa? [emoji23][emoji23] Makonda wa daladala wanasemaje.....Mnadai mia au mnapotezea?[emoji41][emoji41] Haya turudi hapa[emoji855][emoji855] Leo asubuhi nilienda dukani, mara baada...
13 Reactions
156 Replies
10K Views
Ujumbe kwa wanaume: Mkeo akikwambia nipe dk tano nijiandae tutoke, my brother go to watch news in your sitting room. Ujumbe kwa wanawake: Mumeo akikwambia nipe dk tano nitakuwa nimeshafika...
5 Reactions
7 Replies
868 Views
Jamaa alikuwa kwenye safari ya kikazi mkoa ambao ndio ukweni kwake. Alikwenda kuwasalimu wakwe akiwa kwenye msafara na wenzake. Kama ilivyo ada ya Kiafrika wakwe walimsihi aende akawasalimie...
4 Reactions
15 Replies
2K Views
Mzuqa wanajamvi! Yani Meiweza anakera sana. Toka 2016 nilikuwa nafiziaga posti zake yani akiposti tu na mimi wa kwanza kulike na kukoment mfululizo kama mara mia maneno yaleyale. Floyd my...
5 Reactions
26 Replies
3K Views
Back
Top Bottom