Huu mpambano mpaka sasa ni mkali kweli kweli kabla watu hawajarejea toka china wengine wakakunwa kunakowasha
Unaweka wapi mzigo Je kuna Direct win hapa au Both team to score, vipi kuhusu Handcap...
Hello folks, on this thread you can write any rumor you've heard at all times, of any aspect...Just start with "Rumor has it...."
Eg. Rumor has it that Dudu Baya is gay..
Habarini ndg watumiaji wa jf naamini nyote ni wazima umu
Kuna watu wana QUOTE Uzi mrefu ambapo inatuchosha sisi wanachama wa kusoma comment kama vp admin tafuta mbinu ili mtu ashindwe ku QUOTE...
Mjumbe wa nyumba 10 mtaa fulani katusimulia kuwa kaletewa kesi kuwa jamaa kaoa, ila kaenda gesti na mchepuko siku ya krismas. Baada kumaliza yao akaondoka lakini kasahau simu ?. Muhudumu...
Ukienda bar ukawakuta wachaga na wasukuma washamba ujue unaweza kuishia kuwa na stress za kufa mtu!
Wachaga watakuwa wanapiga makelele na kujisifu kuwa wana pesa wakati wasukuma nao watakuwa...
Hivi ni kwa nini kale ka umri ka kuolewa kakianza kuwaacha acha kuwapita huwa mnamtumainia sana mungu.
Yaani hata post zenu kwenye mitandao ya kijamii huwa ni za kimungu mungu. Hivi ni kwa nini?
Mwanamke anaandika uzi kwamba anahitaji mume ili aolewe chaajabu unamfata inbox anaaza pozi nyingi.
Unaanza kumtongoza tena sasa chakushangaza apa mtu unataka mume inakuwaje tena ubembelezwa...
Imekuwa ni mara kadhaa imesikika eneo la UVINZA limekuwa likitajwa sana na makundi kadhaa ya watu hasa vijana mara utasikia "jana nilizama uvinza" au "hata iweje mimi siwezi kwenda uvinza" sasa...
Waungwana mpo..!
Kwa heshima na taadhima ninasimama mbele yenu ninayo habari njema kwamba nikiwa usingizini usiku huu nimeoteshwa dawa inayotibu magonjwa yote (kama alivyooteshwaga babu wa...
Nimekuwa nikifanya utafiti kwa miaka miwili sasa juu ya tabia za wana JF kwa kutumia aina za avatar wanazotumia. Mpaka sasa nimekutana na members zaidi ya 30 humu.
Kiukweli avatar wanazopendelea...
Habari wana chit-chat.
Huu Uzi ni maalum kwa kupotosha methali.
-samaki mkunje Hadi akojoe.
-mficha uchi ujue kachoka kutoka..wa
-ngoma ikivuma sana viziwi watasikia na kuanza kucheza.
-Hamadi...
Maisha club toka imehamia Mwenge imekuwa kama pub flani ya kishamba sana.
You can't believe wana kaka kamoja kimbamba keupe yani eti ndio official dj wao kinajua tu nyimbo za kina mario na aslay...
Wanajf mliopo Dar na viunga vyake,wiki hii hasa kesho nitakuwa safarini kuja Dar kwa ajili ya mapumziko
Nitapumzika siku tatu ,nategemea kuondoka jumanne kurudi Mwanza
Ambao mna fahamu hotel...