JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
There is no difference between a Bar and a Bra, once these two are opened men go crazy. Now imagine a girl called Barbra.
1 Reactions
7 Replies
592 Views
eti SWEETY,CHOCOLATE&HONEY Vitu hivi havizidi hata 1000 dukani, hamuoni kuwa ni kuwashusha hadhi??? *waiteni vitu majina ya vitu vya garama angalau ili kupandisha hadhi ya mpenzi wako, *Muite...
8 Reactions
10 Replies
3K Views
Kama unataka kunywa kinywaji chenye kilevi ukiwa nyumbani hili usiboreke na kilaji kipande kwa raha mustarehe sikiliza ngoma hizi.. Ferre gola Kamustra Ferre gola Kilo 100 Koffi papa plus Koffi...
2 Reactions
53 Replies
5K Views
Na ukilala mradi uwe umekula, mama hana wasiwasi. Sikuhizi hii inaitwa child abuse.
5 Reactions
6 Replies
996 Views
This is an opportunity for you to make some free money and earn upto $2k-$10k in just 24hrs with your bank account. When you sign up you get a free $0.85... so why havent you join...
0 Reactions
3 Replies
680 Views
Habari za muda huu Wakuu. Natumai mu wazima wote. Uzi huu una lengo kuu la kutoa nafasi kwa kila mmoja mwenye mawazo chanya au ushauri unaoweza kumkwamua mtu yeyote humu aliyekwama katika nyanja...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Napika chapati za maji na saizi nimejaza maji katika sufuria yapo motoni yanachemka naomba niambie nini kinafuata!
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Jana muda wa lunch nilikuwa city centre. Kuna mama ntilie anauza chakula kitamu sana pale city. Licha ya machalari, chapati kuku wa kienyeji na mchicha huwa ninapenda maharage yake ya nazi...
7 Reactions
28 Replies
2K Views
Wanawake ndio watu mnaoshinda sana jikoni.... Pale unapochemsha maziwa jikoni ni kwanini yakianza kuchemka huwa yanajaa hadi juu ya sufuria.... Mbona ukichemsha chai huwa haijai kama maziwa...
2 Reactions
34 Replies
3K Views
Ni hivi, jamaa ( mwanaumee wa dar) aligundua mke wake anacheat na akaamua kumfukuza. Mwanamke akawa mpole na kuomba msamaha huku akimpiga. Mwisho wa siku akamfukuza mwanamke kwa matusi ya ajabu (...
2 Reactions
19 Replies
2K Views
☞MREJESHO: 2020 Asalam Aleykum, Bwana Asifiwe. Nisiwachoshe wakuu. ☞ Nimefanikiwa kumpata Binti Ambaye ni BIKIRA.
10 Reactions
161 Replies
10K Views
Fikiria una waambia watoto wako wakalale Mara unasikia kamoja kanasema "Mmh jamani tuondokeni mida yao imefika"
2 Reactions
23 Replies
4K Views
Mfumo wa uendeshaji wa shughuli za shule upo tayari kwa anae hitaji tuwasiliane umetengenezwa from the scratch pia napokea oda za kutengeneza mifumo mbali mbali kutokana na mahutajii ya...
0 Reactions
1 Replies
419 Views
Natumai u mzima wa afya kabisa pamoja na wote wanaokuhusu Kama kweli yaliyomo yamo kupitia threads zako basi nahitimisha kuwa Wewe utakuwa Ni Mama bora kabisa hasa kwa mabinti zako👏👏👏👏👏 Lengo la...
10 Reactions
136 Replies
6K Views
Sijawahi kuona kipindi ambacho namba za magari zinakimbia kama wakati huu na huku mitaani kukiwa na malalamiko yakuwa vyuma vimekaza! Miaka ya nyuma number A to B ilitumia more than 10 years but...
4 Reactions
69 Replies
7K Views
search BOSTA kisha CLICK images ENJOY your everning MILL #Thank_me_later
0 Reactions
3 Replies
1K Views
eeebanaaae!! ama hakika warembo wengi wanakuja PM wakiniambia wanapenda Jinalangu mazeee,. duuuh! kuna demu mmoja hivi eti ananiambia anapenda niwe rafiki yake tuu lakini tusiwe na uhusiano wa...
1 Reactions
28 Replies
2K Views
Rafiki zangu wapenzi, leo sitakuwa nanyi, napanda Mlimani kufanya Meditation ama kwa Kiswahili huitwa TAHAJUDI au TAFAKURI KINA (deep thinking). Kupitia meditation, nayarudia mapito yangu yote na...
2 Reactions
20 Replies
5K Views
Kheri iwe pamoja nanyi ndugu zangu! Mimi ni kijana Mwenye umri 20s nina ndoto na nia ya kuwa Tajiri(Financialy), Nahitaji kuwa Tajiri yaani kuwa na Pesa ndio Furaha yangu....sihitaji kingine zaidi...
1 Reactions
84 Replies
10K Views
Back
Top Bottom