JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Ni matumaini yangu mu wazima, Kwa watumiaji WA mtandao pendwa WA Jf mliopo TBR karibuni tupige mastori mbalimbali, WA mikoa mingne karibuni pia
2 Reactions
63 Replies
5K Views
  • Closed
This is the day we met here in jf Smart911 and now u are my true love of life which I found on this day I can't wait to give u something special in this happy 2nd anniversary of our blessed...
15 Reactions
160 Replies
8K Views
Roho inaniuma sana,nimeathirika kijinga sana Yani niliomba sigara kwa demu flani club kupiga mistari kadhaa kumbe yule demu ni muathirika na alikuwa na michubuko mdomoni Asa na mimi nilikuwa na...
1 Reactions
33 Replies
4K Views
"More than 1 billion young people globally risk developing hearing loss through exposure to loud music through personal audio devices.” Zaidi ya vijana Bilioni Moja duniani wako ktk hatari ya...
2 Reactions
20 Replies
2K Views
Kwa heshima na taadhima nawasalimu ndugu zetu wenye vitz, ist, passo, na jamii yao yote maana dah najua mnavyoteseka na mitaro plus utelezi kwenye vilima. Hahahahahaha Wale wa Toyota Kluger hasa...
17 Reactions
178 Replies
19K Views
Wale Wanaume Wenye Account Za Jamii forums Zenye Majina Ya Kike Na Wanaekti Kama Wanawake Basi Kwa Moyo Mmoja Kabisa Nawatakia #HappyWomensDay2019 Na wale Wanawake Wenye Ndevu Siku Ya Leo...
0 Reactions
17 Replies
1K Views
Kila ninapo peruzi post za watu mbali mbali, mara kwa mara watu wanaitana mkuu, so i got a question, how many wakuu do we have here? Sent using Jamii Forums mobile app
2 Reactions
27 Replies
2K Views
Aisee! Ni mda sijaona michango yake hapa jf.. Ataka ulizia kama yupo mzima
1 Reactions
22 Replies
2K Views
Eti wandugu eti kwa nini paka akiuliwa na mtu mzima huyo mtu maisha yake yanaharibika na kuwa mabovu sana? Maana inashauriwa kama kuna paka inabidi auliwe itabidi aitwe mtoto ambaye hajabalehe...
2 Reactions
65 Replies
8K Views
habali za asubuh kama kichwa cha habari kilivo nipo njiani natoka mwanza-Babati tuombeane uzima wandugu . Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
3 Replies
633 Views
Kaulimbiu ya Sasa siku ya wanawake duniani ni. _*Badili Fikra Kufikia Usawa wa Kijinsia kwa Maendeleo Endelevu*_ Usawa wa Kijinsia ni hali ya upatikanaji sawa wa rasilimali na fursa bila kujali...
1 Reactions
1 Replies
788 Views
Wakuu toka mwezi huu uanze nimesikia vifo vya watu ninaowajua Zaid ya 10.hali inatisha Sana naona watu wengi Sana wana danja.israeli hajatumwa kumaliza Tena watu kwa gharika au Moto Sasa hivi...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Hakuna aliyewahi kufa akarudi akasimulia yanayoendelea Kwenye roho baada ya kufa.ila mimi Nimekaa nikazichunguza kweli za kimaandiko nikatambua hali tunayokuwa nayo baada ya kufa na Sasa...
2 Reactions
14 Replies
4K Views
Majiraa yetu hayaaaa [emoji2089][emoji2089][emoji2089]yangeeekuwajee sasaaa.... [emoji2089][emoji2089][emoji2089]UTUMWA wa nchii nyereeree ameeeukooomeshaaaaa[emoji2089][emoji2089][emoji2089]...
1 Reactions
4 Replies
566 Views
Tuna utamaduni wa kuwaita watoto wetu majina ya watu mashuhuri kama Ronaldo, Messi, Obama, Mrisho, Ben, Harrison. Je, ukipewa majina hayo 4 utachagua jina gani umwite mtoto wako mpendwa.
2 Reactions
53 Replies
5K Views
Baada ya kujiimarisha na kujihakikishia ngome imara kutoka kwa immune system ya mwili mzima. Wabaya wake kumbe wanamsubiri kwenye shingo. Ni lazima shingo ipitishe muakilishi kwenda kichwani...
18 Reactions
77 Replies
7K Views
Wazungu wametengeneza simu ambayo unaweza kuongea na mtu aliye mbali hata kwa video chat mkaonana halafu hii tunaita technolojia, lakini bibi yako kijijini akitumia kiyoo kuongea na mwenzake au...
1 Reactions
2 Replies
723 Views
Habari wana jf nilikua naomba kujua namna ya kupata taarifa za mtu kama vile majina ya wazazi wake na information nyingine kwa njia ya mtandao je nim search wapi ili nione information hizo...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari zenu Kama kichwa cha habari kinavojieleza,joto la dar limenichosha nahitaji kutoka hata kwa siku tatu nipumzike niende mkoa wowote wenye hali ya hewa nzuri.. Inshort mimi sio mtembezi sana...
1 Reactions
37 Replies
3K Views
Je unapenda kumpa mtu yeyote tuzo ya taifa Kwa matukio yake anayoyafanya Kwa jamii ? Kazi kwako kutiririka. Wakwangu natoa Tuzo za taifa kwa hawa watu. __Piere liquid huyu nampa Tuzo ya mlevi...
0 Reactions
3 Replies
790 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…