JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Ni kuwa tumekatazwa kumtaja Tundu Lissu kwani kila linalosemwa juu yake hulijibu siku hiyo hiyo na majibu yake yanaichafua serikali. Sasa hivi tuna Kiu sana ya kufahamu harakati za upinzani...
6 Reactions
20 Replies
2K Views
Kusema ukweli Jf tunachukuliana utani lkn naamini kuna watu humu tume specialized kwenye secta mbalimbali list secta ambayo ume Specialized ili siku mtu akikwama sehemu kwenye secta yake aja...
2 Reactions
21 Replies
1K Views
Ebu mgoja kesho mapema....... Napanga kuomba msamaha, hapa hadharani. Naona aibu, nili/me fadhaika, heshima yangu ulijikwaa, hatusemi tena, urafiki wetu umeyumba.... Agghhhhh kesho nitamtaja huyu...
8 Reactions
62 Replies
5K Views
Nami niwe na furaha na Bashasha kama huyo mke wa kapuya Sent using Jamii Forums mobile app
2 Reactions
24 Replies
3K Views
JF raha bhana.Kuna kipindi unakutana na majibu ya kiduanzi,nyodo,makuzi,ucheshi n.k ambayo hutokutana nayo sehemu yeyote ile.Kama ulikua umenuna inabidi ufumue kicheko tuuu.Ukiyaona hebu...
16 Reactions
67 Replies
5K Views
Kama unafanya kazi sehemu na umekuwa ukilipwa ujira mdogo ambao unaona kabisa haukidhi mahitaji yako!na boss hana mpango wowote wa kukuongezea mshahara Fanya hivi! Fungua kampuni yako ujilipe...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Ili utajirike lazima ufaham mambo makubwa mawili.... Mambo yenyewe hata siyafaham ndo maana sijatajirika......[emoji13] [emoji13] Tuendelee kuangaika tu ndugu zangu hakuna namna.....[emoji23]...
4 Reactions
11 Replies
3K Views
Ndugu Zero IQ mratibu, muandaaji na mtayarishaji wa JF Hardtalk umepotea ni muda sasa nini tatizo?! Uhitaji wa hardtalk ungali upo kwa sababu ilianza kusaidia kuwatambua wana-JF uwezo, mitazamo...
4 Reactions
31 Replies
3K Views
Duh
Kesho nina mgeni katoka town anakuja mkoani tumefahamiana humu humu jf ata wiki haijafika toka apost anataka mchumba duh kaniamini kiasi hiki ngoja nimpokee tu. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
3 Replies
966 Views
Kuna kajamaa flani kauza chips kanasifika sana humu kwa mada za mahusiano yasiyo rasmi na kamejiapiza kuzaa watoto wa3 kwa wanawake tofauti mwaka huu. na kanadai tayari mmoja ameshapata ujauzito...
0 Reactions
9 Replies
931 Views
Nakumbuka tuliwahi kuagiza beki 3 mkoani morogoro vijijini tukaambiwa huyo binti ana miaka 18 kamaliza form four binti kufika anaonekana ana miaka 13 na hata kukaa na watoto hawezi. Kuna mmoja...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Tunapiga unafiki kila kona sisi[emoji16][emoji16] Misibani unafiki, Siasani unafiki, Kanisani unafiki, Msikitini unafiki. [emoji817]unafikinafiki tu,unabeunabe tu. Mmm!h!weita zungusha tena kama...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habarii Jana niliulizwa maswali kwenye uzi flani as HardTalk Bahati mbaya sikuweza kuyamaliza yote kutokana na simu kuisha chaji. Hivyo basi Ningependa kujibu maswali yote yaliyobaki na kama kuna...
12 Reactions
77 Replies
5K Views
Wanajamvi za usiku huu yaani katika vitu huwa vinaniletea hasira huwa ni kitendo cha mtoa uzi kuleta uzi bila kuwa na viambatanishi vya kusaidia uzi wake ili wazeee wa kushadadia tushadadie kwa...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Uchunguzi huru: Unaonyesha kuwa "ROHO MBAHA" ya kutokupenda mtu mwingine kuendelea (90%) inaweza kuwa sababu kubwa ya watu kuendelea kusotea umasikini. Mfano tu leo ukitaka kuanzisha kiwanda...
3 Reactions
1 Replies
1K Views
Mwanamke mmoja tu yenyewe lakini Ni Kama vile anataka kunishinda.tatizo kubwa lipo mfukoni sina kitu sina hela,nina wallet tu nimeijaza makaratasi ukiifungua hakuna kitu. kwa mfano sasa hivi hapa...
3 Reactions
22 Replies
2K Views
Swalama? Nimepita njia ya morogpro juzi,dah!mji umefika chalinze,mwezi uliopita nilikuwa Nangwanda huko! mmmh sikuona mwanzo na mwisho wa mkuranga na daresalama! Kwa habari ya Bagamoyo tusiongee...
3 Reactions
7 Replies
767 Views
Nianze kwa kuwasalimu wakuu! Ebwana kumezuka kamchezo fulani mitaani especially uswahilini na kwa ushuhuda wangu nimeshaona matukio kama hayo zaidi ya matatu. UTANGULIZI; Kuna baadhi ya wazazi na...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Na wanawake mnafahamu fika hili huwa linatuuma zaidi ya kuuma. Daby unajitutumua kuomba kila siku na vizawadi vyako kila kukicha ila mwisho wa siku anapewa Asprin kiurahisi bila hata kutumia...
17 Reactions
200 Replies
9K Views
Kama ulizaliwa tarehe 29 wakati mwaka huu unaishiab28 kuna mambo ya baby birthday yangu au bajeti yake tuipangie matumizi mengine?
0 Reactions
4 Replies
988 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…