JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Post deleted by author.
7 Reactions
223 Replies
8K Views
Proffesor anasema... utakuta mtu anaoa fine vizur .. ndoa ya kilokole ..fine vizur ... jamaa anakupangia u mchangie tsh 300,000 ... dahhh ndoa ya kilokole ambayo hakuna gambe ( pombe ) .. mchango...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Tuambiea kitu gani hutokisahau maishani mwako.mie sitosahau kipindi nipo darasa LA pili tulikuwa paredi tunaimba wimbo wa taifa gafra mkanda ukaachia kaptura chini yote daa sikuwa na kinyongo...
4 Reactions
35 Replies
2K Views
Hapa kama una couple usitaje mpenzi wako bali tutasemea kuhusu kuvutiwa na member wa kiume kutokana na anavyoshiriki hapa Jukwaani. Demiss mm nampenda sana huyu member wakuiiitwa Mwifwa kuliko...
28 Reactions
1K Replies
30K Views
Heri ya mwezi mpya wa Novemba, 2017 wanajf. Jana muda wa saa mbili usiku nilistuka kumuona nyoka yuko ndani kwangu, pembeni ya mlango wa kutokea nje! Nyoka wa kimo cha kati, mweusi. Nimeshangaa...
6 Reactions
133 Replies
13K Views
Wazungu nawashangaa sana kuna mikoa na wilaya hamfiki kabisa wakati ndiyo inawaongezea kipato ktk nchi zenu mfano mikoa inayotoa samaki kama Mwanza na Kigoma na mikoa na wilaya mnazovuna madini...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Kulala bila kuoga ni tabia mbaya Kulala bila kupiga mswaki tabia mbaya Kuamka bila kuoga tabia mbaya Kuamka bila kupiga mswaki tabia mbaya Kwenda choo bila maji na kutumia toilet paper na maji...
2 Reactions
17 Replies
2K Views
Kama kawa baada ya kazi za mchana kutwa huwa tuna refresh mind kwa mitindo tofaut Binafs huwa napenda muvi hasa tamthilia iitwayo sultana ndani ya azam two Nadhani kwa wanaofatilia hii tamthilia...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Habari wana jf kama ilivyo kawaida ya vijana na mambo ya mahusiano kila siku. Kuna mtoto flan hivi wa kishua kweli anakaa moshi na anasoma chuo hapo hapo moshi town.sasa wazee sijawahi kula uyu...
1 Reactions
23 Replies
2K Views
EDITED: Mwalimu alisema laiti jana ingekuwa ijumaa,leo ingekuwa jumamosi.Mwalimu aliyasema maneno hayo siku gani? Baada ya miaka kadhaa nakuja na ka update haka hapa chini, UPDATE: Changamsha...
0 Reactions
36 Replies
8K Views
Nimetembelea beach niseme zote hapa Dar es Salaam, wanaotembelea either ni wanafunzi wa form 4, 6 get together, ma beki tatu na watoto wa mabosi zao, au washamba fulani waliotoka mikoani, au...
3 Reactions
65 Replies
7K Views
Wazungu nawashangaa sana kuna mikoa na wilaya hamfiki kabisa wakati ndiyo inawaongezea kipato ktk nchi zenu mfano mikoa inayotoa samaki kama Mwanza na Kigoma na mikoa na wilaya mnazovuna madini...
0 Reactions
2 Replies
727 Views
Habari wana jf Ikiwa tunaelekea kumalia robo ya tatu ya mwaka 2018..pengine.....kunamambo yanaendelea kukusikitisha ...... ....Binafsi hua nasikitika sana pale nisikiapo kauli ya Mwanasiasa tena...
0 Reactions
4 Replies
936 Views
My main aim is, uwepo uhuru wa mtu kutengeneza website, utafute watu wazawa ama watu wa nje ya tz, wacheze X then upost kwenye website yako watu waangalie then upige hela! i think ni wazo zuri...
0 Reactions
43 Replies
5K Views
Huyu ni member maarufu na mkongwe humu jf lakini kwa kipindi cha zaidi ya miezi mitatu kapotea humu na hajapost wala ku comment chochote, na sio kawaida yake, kama yupo humu atujuze maana isije...
7 Reactions
52 Replies
6K Views
Mimi ni mdau hasa na mfuatiliaji wa kazi za wasanii mbalimbàli duniani,tangu utoto wangu nimeangalia kazi za ndani za wasanii na za nje toka Marekani,Ulaya,India,China na hata Korea zisizo na...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Je, ulimwengu wetu.. .. .. 1. Utabaki jinsi ulivyo.? 2. Utakuwa mbaya hata zaidi.? 3. Utaboreka.?
0 Reactions
0 Replies
489 Views
I feel like I can't hold it anymore! Nipo nimejifungia ndani nina machungu yasiyo pimika. Najiuliza kwa nini Mungu? As i was getting myself together again, suddenly this happens. Oh lord.
1 Reactions
6 Replies
3K Views
wazee wa kudamshi hahahaha
4 Reactions
43 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…