JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Juzi kuna shosti yangu limemkuta jambo. NYUMBA aliyokua anakaa alishawahi kuishi mwanaume Fulani na familia yake. Sasa siku ya tukio wakati yuko ndani akasikia MTU anagonga geti lake kwa nguvu...
21 Reactions
108 Replies
7K Views
Mimi kabisa labda utoto ulikuwa unanisumbua au niseme ussta duu eti nihonge mwanaume chaiiiiii naanzaje kwa mfano? Asikwambie mtu yani unaenda kumdangia mwanaume huna mpango naye alafu anakukopaa...
9 Reactions
349 Replies
17K Views
Dhambi kila mtu anazijua.ni kuenenda kinyume na anavyopenda MFALME MUNGU JEHOVA.mimi Binafsi nilivokuwa mdogo nilijiwekea lengo kwamba ninatamani niishi maisha ya kitakatifu bila kufanya dhambi...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Habari iliyotufikia hiv punde... Basi Lenye Namba Za Usajili 'T 767 BWK' kampuni ya Ngorika Linalosafirisha Abiria Kotoka Arusha To Dar, Dar To Arusha Lilokuwa Linatokea Arusha Kwenda Dar, Lilikua...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Siku za jumapili mchana huwa ninapata njaa kali, na ninakua na appetite ya haja ndio maana huwa Binafsi napenda kula pilau ambayo imechanganywa na nyama nyingi humohumo(sio zile za mchuzi) then...
2 Reactions
47 Replies
6K Views
Kwa mwanaume hata km uwe strong vp .. Samani ya mkia wa nje ni kubwa.. Lazima utakustua...pia lazima utageuka kuangalia...wengine wanajifanya hawageuki hawana lolote moyo wao wote unawaza mkia...
2 Reactions
37 Replies
3K Views
Mwe kumbe mmeweka concrete na magari yanapita juu ya mengine mnaiita fly over!
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Leo najivinjari tu maeneo ya Tabata. Nlianzia 40/40,nikahamia MICASA, nmesogea THE GREAT then ntafika Wandugu mliopo TABATA kama upo maeneo haya tuwasiliane please tugonganishe. Nataka nivifaham...
0 Reactions
4 Replies
744 Views
Haijalishi ni ndugu, rafiki, jirani nk lazima kila mtu alishawaiombwa hela na mmoja kati ya hao watu.Hilo ni jambo la kawaida. Kuna mwingine anaweza kukuomba umkopeshe kiasi kidogo, ambacho...
0 Reactions
10 Replies
773 Views
LEO tunachat kingereza kama, ujasoma kaa mbali na sisi naanza. How are you?
0 Reactions
33 Replies
2K Views
Haipendezi wanaume kuwa na mguu mdogo,mwanaume kamguu kama msichana ni aibu kubwa,mwanaume guu unatakiwa angalau avae 45 au 44 ila sio 39 au 40 kama mdada. Wanaume wa dar vimguu vidogo sana na...
10 Reactions
76 Replies
8K Views
*Bado nalia na hizi smartphone, mwenzenu leo nilikuwa mbali kidogo na nyumbani mara nikapokea sms kutoka kwa mshua ikisema "Njoo nyumbani mara moja". Sasa badala ya mimi kujibu "kuna nini?" mimi...
5 Reactions
13 Replies
3K Views
1)barafu (mzee wa bombadia) nilidhani ni 50-60 ila nahisi ni 30-40 2)Mshana(Dr Leakey wa Uchawi) 40-50 3)Mzigua 20-30 4)Sky eclat ( anayejifanyisha wa mtogole) 40-50 Weka list yako
3 Reactions
238 Replies
8K Views
Kupoteza kitu ni jambo la kawaida. Show me a person ambae hajawahi poteza kitu, and I'll show you a liar. Lakini kuna vitu vingine mtu unapoteza au ibiwa, ambavyo kwako vilikuwa na thamani...
2 Reactions
37 Replies
2K Views
Kweli kuzaliwa 3rd countries majanga aisee.. Yaani toka kuzaliwa kwetu mpaka kufa,mwendo ni Mtumba tu Yaani:- 1.DEMU/MKE mtumba 2.GARI mtumba 3.MAVAZI mtumba 4.MALAZI mtumba 5.SIMU mtumba 6.TV...
3 Reactions
26 Replies
2K Views
Ikiwa ni Usiku Mwingine Tulivu tena, wanaJF niwakaribisheni katika Uzi huu Maridhawa wa Kushirikishana tafakuri mbalimbali za Maisha.. Leo tuangalie hii case ya Changamoto ya Kukoswa koswa na...
0 Reactions
34 Replies
2K Views
Ni miaka miwili tangu nipo na huyu mpenzi wangu anaitwaa sharifaa ...nimempendeaa ufupi wakee ni mfupiii sana ...mashikajii wamenisema sana nimuache siendani nae lakin awajuiii ...mambo aliyo...
2 Reactions
30 Replies
3K Views
Huu wimbo unanikumbusha mbali sana....kuna mtu wangu alikuwa akiusikia huu anajua...KIFUATACHO ITV NI.......................Weka old school yako moja tujue inakukumbusha nini.
8 Reactions
224 Replies
9K Views
Mwaka 1982 hadi 1983, Rais Magufuli alikuwa Mwalimu Shule ya Sekondari Sengerema akifundisha masomo ya Kemia na Hisabati. Kwa wale mliobahatika kufundishwa na JPM mje hapa mtueleze uwezo wake wa...
14 Reactions
132 Replies
15K Views
Wale wa kwenye ndoa pliz mkae mbali na uzi huu msije kufa kwa stress. Tujadili yale yanayotuhusu sisi mabachela vile tunaishi kwa Raha kuliko walioko kwenye ndoa, vile tunavyowatafuna wale...
3 Reactions
61 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…